• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

RC Katavi aipongeza Nsimbo kwa Usimamizi mzuri wa Miradi

Imewekwa: January 5th, 2021

Pichani:Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mh.Juma Zuberi Homera akikagua Ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.


Mkuu wa Mkoa wa Katavi Komredi Juma Zuberi Homera Januari 05, 2021 amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

IOI

Akiwa Nsimbo Komredi Homera amekagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya unaoendelea katika eneo la Isinde lililoko Mji Mdogo wa Nsimbo ambapo ameridhishwa na hatua ulikofikia ujenzi wa majengo ya Hospitali hiyo. Pia ameridhishwa na kasi ya ujenzi unaozingatia viwango, ubora pamoja na matumizi sahihi ya Fedha za umma.

Komredi Homera pia amekagua Ujenzi wa Jengo la Utawala linaloendelea kujengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ambapo amemtaka Mkandarasi kuhakikisha kuwa anazingatia ubora pamoja na muda wa kukamilika kwa Ujenzi huo kwa wakati ili Wataalamu wa Halmashauri waweze kuwahudumia Wananchi kwa ufanisi.  

Aidha Komredi Homera amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bw.Mohamed Ramadhani pamoja na Wataalamu wote kwa namna wanavyoshirikiana  kusimamia vema  Miradi ya Maendeleo.

Ametoa rai kwa Wananchi wa Nsimbo kujiandaa kupata huduma bora za Afya muda mfupi ujao pindi ujenzi utakapokamilika.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUANZA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 KUTOKA NSIMBO-DC December 19, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPENDEKEZWA KUJIUNGA MAFUNZO YA UFUNDI STADI CHUO CHA VETA MPANDA NA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MSANGINYA MWAKA 2021 December 20, 2020
  • KATAZO LA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • ACHANA NA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Wananchi Nsimbo punde kuhudumiwa katika Hospitali ya Wilaya.

    January 06, 2021
  • RC Katavi aipongeza Nsimbo kwa Usimamizi mzuri wa Miradi

    January 05, 2021
  • Madiwani Nsimbo wahimizwa kuhamasisha Wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa.

    December 23, 2020
  • Naibu Waziri TAMISEMI aipongeza Nsimbo kwa harakati za Ujenzi wa Sekondari.

    December 15, 2020
  • Angalia zote

Video

Mwenyekiti Nsimbo akemea Uchangiaji holela wa vyombo vya kunywea pombe vilabuni
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +2552955164

    Simu: +255713992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa