• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Maendeleo na Ustawi wa Jamii

WASIFU WA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

Maendeleo ya Jamii kama dhana ni hatua mbalimbali zinazowawezesha watu kutambua uwezo walionao wa kubaini matatizo na kutumia fursa na rasilimali zilizopo kujipatia na kujiongezea kipato hivyo kujiletea maisha bora zaidi.

Idara ya maendeleo ya Jamii  Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo inabeba Jukumu kubwa la kuhakikisha Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wanabadilika kutoka fikra na mtazamo asilia wa maendeleo na kuwa na mtazamo wa maendeleo unaokwenda na wakati uliopo na hivyo kushiriki kikamilifu katika kuamua na kutekeleza mipango ya maendeleo yao. Sekta ya maendeleo ya Jamii ni MTAMBUKA ikihusisha sekta mbalimbali kwa kuwa katika maeneo yote hayo ushiriki wa watu ni muhimu na unazingatiwa.

MUUNDO WA IDARA

 

Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kama ilivyo kwa Halmashauri nyingine kimuundo ina vitengo vitano (5) ambavyo ni Kitengo cha Maendeleo ya Jamii,Kitengo cha  kudhibiti UKIMWI, Jinsia na Watoto, Maendeleo ya Vijana, Kitengo cha Ustawi wa Jamii na kitengo Uwezeshaji wa wananchi kiuchumi.Shughuli zote za Idara kisekta kama ilivyoelezewa katika muundo zinasimamiwa na kuratibiwa na Maafisa Maendeleo ya Jamii Ngazi ya Wilaya.

 

Wataalamu wa Idara:

 

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ina Maafisa Maendeleo ya Jamii 14. Chini ya Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii(W) wataalamu hawa wamegawanyika katika makundi mawili;

  • Maafisa Maendeleo ya Jamii Ngazi ya Wilaya.
  • Maafisa Maendeleo ya Jamii Ngazi ya Kata.

Wataalamu wa Idara  ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ni hawa wafuatao;

Jina:Hamisi Y.Mnubi

Cheo:Mkuu wa Idara

Elimu:  Stashahada  ya Uzamili ya Maendeleo ya Jamii-

(Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru- Arusha)

 

Mawasiliano:

Simu

- +255754925367

-+255784925367

Barua pepe:

hamymnubi@gmail.com

hmnubi@hotmail.com

Jina: Alex Wema Magessa

Cheo: Afisa Maendeleo ya Jamii(W)

Elimu: 

Shahada ya Uzamili ya Afya ya   Jamii

(Muhimbili University of Helath and Allied Sciences-Dar es salaam),

Shahada ya kwanza ya  Sosholojia,

(Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino- Mwanza)

Mawasiliano:

Simu;+

Barua pepe;

 

 

 

 

 

Jina:Simon Angulile Kajange

Cheo:Afisa Maendeleo ya Jamii(W)

Elimu:

  • Shahada  ya Maendeleo ya Jamii-

(Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru- Arusha)

  • Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Uchumi)- Chuo cha Teofilo Kisanji

Mawasiliano;

Simu:

+255752633286

+255625846110

Barua pepe:

kajange.a@gmail.com

 

Jina:Jenifer F.Mshanga

Cheo:Afisa Maendeleo ya Jamii(w)

Elimu: Shahada ya Sosholojia  (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam)

Mawasiliano:

Simu:

+255756464666

+255625394158

Barua pepe: fortunatejenifa@gmail.com 

Jina:Dianarose Munuo

Cheo:Afisa Maendeleo ya Jamii (W)

Elimu: Shahada ya Maendeleo ya Uchumi na Jamii  

Mawasiliano:

+255752588030

+255782051337

Barua pepe: dianabenjamin@yahoo.com

Jina:Ojuku Martin Mgedzi

Cheo:Afisa Ustawi wa Jamii (W)

Elimu: Stashahada ya Ustawi wa Jamii 

(Chuo Kikuu cha Dar es Salaam)  

Mawasiliano:

+255763430041

+255623668647

Barua pepe: 0jukumgedzi@gmail.com




MAJUKUMU YA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, USTAWI WA JAMII NA VIJANA

Matangazo

  • MAFUNZO YA SENSA KWA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA TEHAMA, UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 26, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA KAMPENI YA UPANDAJI MITI 1,500,000 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    January 25, 2023
  • MILIONI MIA MOJA NA TISA ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    June 29, 2022
  • Kamati za Sensa za Vitongoji, Vijiji na Kata Nsimbo wajengewa uwezo wa kutekeleza majukumu yao

    May 27, 2022
  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa