• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

HALMASHAURI YA NSIMBO YAPELEKA NEEMA KWA WAFANYABIASHARA, WANANCHI KIJIJI CHA MAGULA

Imewekwa: January 22nd, 2026

Halmashauri ya wilaya ya Nsimbo iko katika hatua za maandalizi ya kuanza ujenzi wa soko jipya pamoja na stendi ya kisasa katika kitongoji cha Magula kilichopo kata ya Stalike, Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoa wa Katavi. Hayo yamebainishwa na Kaimu afisa mipango na uratibu bwana Yohana Edward Malimi alipokuwa kwenye kikao kidogo cha hadhara pamoja na wananchi wa kitongoji hicho Januari 22, 2026.

Bwana Malimi amesema kuwa, lengo kuu la kikao hicho ni kuzungumza na wananchi wa Magula pamoja na  kutathimini hali ya uhitaji wa huduma hizo kwa wananchi hao ambapo  kikao hiko kimeenda sambamba na zoezi la kuchukua sahihi za maridhio ya ujenzi wa miradi hiyo, na kubainisha kuwa mwitikio wa wananchi katika zoezi hilo umekuwa ni mkubwa hali inayoashiria utayari wao wa kupokea ujenzi wa miradi hiyo ya mandeleo ndani ya kijiji hiko.

Naye Mtendaji wa Kijiji cha Mtisi  ameishukuru serikali kwa kuwekeza ujenzi wa miradi hiyo ya maendeleo katika kijiji hiko na kuomba ujenzi uanze na kukamilika mapema ili kuondoa kero za muda mrefu walizokuwa wakipata wananchi wa eneo hilo kutokana na kutokuwa na Soko pamoja na stendi rasmi ya magari katika eneo hilo.

Ujenzi wa Soko na Stendi Mpya katika eneo hilo unatarajia kuwa mkombozi wa huduma hizo kwa Wananchi wa maeneo hayo kwani wamekuwa wakipata huduma hizo katika Soko na Stendi ndogo iliopo katika eneo hilo huduma ambazo zimekuwa hazikidhi uhitaji wa wananchi kutokana na ongezeko kubwa la watu katika maeneo hayo.


Matangazo

  • UCHAGUZI WA KIDATO CHA KWANZA 2026 December 04, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA November 13, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA NSIMBO YAPELEKA NEEMA KWA WAFANYABIASHARA, WANANCHI KIJIJI CHA MAGULA

    January 22, 2026
  • RC MRINDOKO AHIMIZA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO – NSIMBO DC

    December 17, 2025
  • KAMATI YA SIASA MPANDA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO H/W NSIMBO

    December 19, 2025
  • DC MPANDA AHIMIZA UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA AWALI NA MSINGI

    December 10, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa