• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

HONGERA SANA DKT. MWIGULU NCHEMBA

Imewekwa: November 13th, 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amemteua Mheshimwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kuwa Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akisoma uteuzi huo wa Mheshimiwa Rais mbele ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma mapema hii leo, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu amesema: “Kwa kutekeleza matakwa hayo ya kikatiba, nimemteua mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…….” Imesema sehemu ya ujumbe huo.

Baada ya kutangazwa uteuzi huo na baadaye kuthibitishwa na Bunge kwa mujibu wa Katiba, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema anautambua vizuri umasikini uliopo nchini.

 "Mimi umasikini wa Tanzania sijausoma kwenye kitabu nimeuishi, miaka takribani 32 nimeishi katika maisha hayo ya umasikini", …… "Unaenda kuchunga ukirudi nyumba nzima inavuja, natambua maisha haya". alisema Mheshimiwa Dkt. Nchemba mara baada ya kuthibitishwa Bungeni.

Itakumbukwa kwamba, mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba alichaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba, 29 mwaka huu.

 Tangu baada ya Uhuru wa Tanganyika na baadaye Tanzania (1961), Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba anakuwa Waziri Mkuu wa kumi na mbili (12) akipokea kijiti kutoka kwa Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa aliyehudumu katika nafasi hiyo tangu alipoteuliwa kushika wadhifa huo mwezi Novemba 2015.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA November 13, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC MRINDOKO AWATAHADHARISHA MAWAKALA NA WAFANYABIASHARA WA PEMBEJEO ZA KILIMO

    November 19, 2025
  • PONGEZI KWA PROF RIZIKI SHEMDOE

    November 17, 2025
  • DED NSIMBO AWATAKIA MTIHANI MWEMA WATAHINIWA WA CSEE-2025

    November 17, 2025
  • HONGERA SANA DKT. MWIGULU NCHEMBA

    November 13, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa