• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kaimu DED Nsimbo akagua Ujenzi Miradi Kata ya Ugalla, Asisitiza maandalizi ya manunuzi ya Vifaa kwa wakati kutoathiri kasi ya Ujenzi.

Imewekwa: March 22nd, 2022

Pichani:Kaimu Mkurugenzzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi Tabia Nzowa akizungumza na Kamati ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Ugalla alipotembelea kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Kituo hicho 22 Machi 2022.

Nsimbo-Ugalla

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi Tabia Nzowa leo 22 Machi 2022 akiambatana na Wakuu wa Idara na Vitengo  ametembelea miradi mbalimbali ya maendeleo iliyoko katika Kata ya Ugalla Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Akiwa Ugalla Bi Tabia amekagua maendeleo ya Ujenzi wa kituo cha Afya Ugalla kinachojengwa ambapo amejiridhisha kuendelea kwa shughuli mbalimbali za ujenzi bia kuwepo kwa changamoto zozote katika eneo la Ujenzi wa Kituo hicho cha Afya.

Bi Tabia amewapongeza  mafundi kwa namna wanavyojitoa mpaka hatua ulipofikia ujenzi huo ikiwa ni tangu alipotembelea ujenzi huo 17 Machi 2022 akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mh.Bi Jamila Yusuph Kimaro.

Kaimu Mkurugenzi Tabia  amewasisitiza kamati ya Ujenzi pamoja na Wasimamizi wengine wa mradi huo kuhakkiisha kuwa wanafanya manunuzi ya vifaa kwa wakati badala ya kusubiri Vifaa viishe ndipo waanze mchakato wa manunuzi kwa kuwa kufanya hivyo ni kuathiri utekelezaji wa mradi jambo linaloweza kusababisha mradi kutokamilika kwa wakati.

Katika hatua nyingine Kaimu Mkurugenzi Nsimbo amekagua maendeleo ya Ujenzi wa Maabara katika Sekondari ya Ugalla ambapo amejiridhisha kwa maendeleo mazuri ya Ujenzi wa mradi huo ambao kwa sasa upo katika hatua za Umaliziaji.


Matangazo

  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Mwenyekiti Nsimbo awataka Watendaji kukamilisha Malengo kuelekea Mwishoni mwa Mwaka wa Fedha

    April 21, 2022
  • ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA KUFANYA KAZI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    March 23, 2022
  • Kaimu DED Nsimbo akagua Ujenzi Miradi Kata ya Ugalla, Asisitiza maandalizi ya manunuzi ya Vifaa kwa wakati kutoathiri kasi ya Ujenzi.

    March 22, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +255739992124

    Simu: +255787992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa