• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kaimu DED Nsimbo akagua Ujenzi Miradi Kata ya Ugalla, Asisitiza maandalizi ya manunuzi ya Vifaa kwa wakati kutoathiri kasi ya Ujenzi.

Imewekwa: March 22nd, 2022

Pichani:Kaimu Mkurugenzzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi Tabia Nzowa akizungumza na Kamati ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Ugalla alipotembelea kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Kituo hicho 22 Machi 2022.

Nsimbo-Ugalla

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi Tabia Nzowa leo 22 Machi 2022 akiambatana na Wakuu wa Idara na Vitengo  ametembelea miradi mbalimbali ya maendeleo iliyoko katika Kata ya Ugalla Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Akiwa Ugalla Bi Tabia amekagua maendeleo ya Ujenzi wa kituo cha Afya Ugalla kinachojengwa ambapo amejiridhisha kuendelea kwa shughuli mbalimbali za ujenzi bia kuwepo kwa changamoto zozote katika eneo la Ujenzi wa Kituo hicho cha Afya.

Bi Tabia amewapongeza  mafundi kwa namna wanavyojitoa mpaka hatua ulipofikia ujenzi huo ikiwa ni tangu alipotembelea ujenzi huo 17 Machi 2022 akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mh.Bi Jamila Yusuph Kimaro.

Kaimu Mkurugenzi Tabia  amewasisitiza kamati ya Ujenzi pamoja na Wasimamizi wengine wa mradi huo kuhakkiisha kuwa wanafanya manunuzi ya vifaa kwa wakati badala ya kusubiri Vifaa viishe ndipo waanze mchakato wa manunuzi kwa kuwa kufanya hivyo ni kuathiri utekelezaji wa mradi jambo linaloweza kusababisha mradi kutokamilika kwa wakati.

Katika hatua nyingine Kaimu Mkurugenzi Nsimbo amekagua maendeleo ya Ujenzi wa Maabara katika Sekondari ya Ugalla ambapo amejiridhisha kwa maendeleo mazuri ya Ujenzi wa mradi huo ambao kwa sasa upo katika hatua za Umaliziaji.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa