• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kamati za Sensa za Vitongoji, Vijiji na Kata Nsimbo wajengewa uwezo wa kutekeleza majukumu yao

Imewekwa: May 27th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kwa kutambua umuhimu wa zoezi la Sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika tarehe 23, Agosti 2022 ambapo watu wote watakao lala ndani ya mipaka ya nchi usiku wa kuamkia siku ya Sensa watahesabiwa (Raia wa Tanzania na Asiye Raia), Halmashauri imeendelea na maandalizi ya kuhakikisha lengo hilo linafikiwa kwa asilimia mia na kwa ufanisi mkubwa.

Mratibu wa Sensa ya watu na Makazi ndugu Scholastika Njovu kwa kushirikiana na kamati ya Sensa ya watu na makazi Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wameendelea kutoa elimu ya Sensa ya watu na makazi kwa kamati za Sensa ya watu na makazi ngazi ya Vitongoji, Vijiji, na Kata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Mratibu wa Sensa ameeleza elimu wanayotoa inalenga kuwajengea uwezo kamati za Sensa ngazi ya Vitongoji, Vijiji na Kata, kwanza kutambua majukumu yao katika kufanikisha zoezi hili, pili wawe na uelewa mkubwa kuhusiana na Sensa ya watu na makazi maana wao ndio wataenda kutoa elimu na kuhamasisha jamii na kuhakikisha wananchi wanaowazunguka na kushiirikiana nao wanakuwa na uelewa wa Sensa kabla ya siku ya Sensa.

Kila mwananchi anawajibu wa kuhakikisha anahesabiwa mara moja tu na kutoa ushirikiano wa kutosha kwa karani wa Sensa. Ili kufanikisha hayo wananchi wanatakiwa wahakikishe wanakuwepo kwenye kaya zao siku ya zoezi la sensa ama kuacha taarifa muhimu kama Taarifa za kidemografia (Umri, Jinsi, Hali ya ndoa), Taarifa za ulemavu (Aina ya ulemavu na chanzo cha ulemavu), Taarifa za uhamiaji, Taarifa za vitambulisho vya utaifa na uhai wa wazazi, Taarifa za Elimu, Taarifa za shughuli za kiuchumi, Taarifa za umiliki wa Ardhi na Tehama, Taarifa za hali ya uzazi, Taarifa za vifo na vifo vitokanavyo na uzazi, Taarifa za nyumba, hali ya umiliki wa nyumba, vifaa/Rasilimali na udhibiti wa mazingira, Taarifa za Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Misitu, Taarifa kuhusu mpango wa TASAF, Taarifa za majengo/nyumba, Anwani za makazi na Taarifa za huduma za jamii katika ngazi ya kitongoji na Mtaa.

SENSA KWA MAENDELEO JIANDAE KUHESABIWA.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa