• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kamati za Sensa za Vitongoji, Vijiji na Kata Nsimbo wajengewa uwezo wa kutekeleza majukumu yao

Imewekwa: May 27th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kwa kutambua umuhimu wa zoezi la Sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika tarehe 23, Agosti 2022 ambapo watu wote watakao lala ndani ya mipaka ya nchi usiku wa kuamkia siku ya Sensa watahesabiwa (Raia wa Tanzania na Asiye Raia), Halmashauri imeendelea na maandalizi ya kuhakikisha lengo hilo linafikiwa kwa asilimia mia na kwa ufanisi mkubwa.

Mratibu wa Sensa ya watu na Makazi ndugu Scholastika Njovu kwa kushirikiana na kamati ya Sensa ya watu na makazi Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wameendelea kutoa elimu ya Sensa ya watu na makazi kwa kamati za Sensa ya watu na makazi ngazi ya Vitongoji, Vijiji, na Kata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Mratibu wa Sensa ameeleza elimu wanayotoa inalenga kuwajengea uwezo kamati za Sensa ngazi ya Vitongoji, Vijiji na Kata, kwanza kutambua majukumu yao katika kufanikisha zoezi hili, pili wawe na uelewa mkubwa kuhusiana na Sensa ya watu na makazi maana wao ndio wataenda kutoa elimu na kuhamasisha jamii na kuhakikisha wananchi wanaowazunguka na kushiirikiana nao wanakuwa na uelewa wa Sensa kabla ya siku ya Sensa.

Kila mwananchi anawajibu wa kuhakikisha anahesabiwa mara moja tu na kutoa ushirikiano wa kutosha kwa karani wa Sensa. Ili kufanikisha hayo wananchi wanatakiwa wahakikishe wanakuwepo kwenye kaya zao siku ya zoezi la sensa ama kuacha taarifa muhimu kama Taarifa za kidemografia (Umri, Jinsi, Hali ya ndoa), Taarifa za ulemavu (Aina ya ulemavu na chanzo cha ulemavu), Taarifa za uhamiaji, Taarifa za vitambulisho vya utaifa na uhai wa wazazi, Taarifa za Elimu, Taarifa za shughuli za kiuchumi, Taarifa za umiliki wa Ardhi na Tehama, Taarifa za hali ya uzazi, Taarifa za vifo na vifo vitokanavyo na uzazi, Taarifa za nyumba, hali ya umiliki wa nyumba, vifaa/Rasilimali na udhibiti wa mazingira, Taarifa za Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Misitu, Taarifa kuhusu mpango wa TASAF, Taarifa za majengo/nyumba, Anwani za makazi na Taarifa za huduma za jamii katika ngazi ya kitongoji na Mtaa.

SENSA KWA MAENDELEO JIANDAE KUHESABIWA.

Matangazo

  • MAFUNZO YA SENSA KWA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA TEHAMA, UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 26, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA KAMPENI YA UPANDAJI MITI 1,500,000 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    January 25, 2023
  • MILIONI MIA MOJA NA TISA ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    June 29, 2022
  • Kamati za Sensa za Vitongoji, Vijiji na Kata Nsimbo wajengewa uwezo wa kutekeleza majukumu yao

    May 27, 2022
  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa