• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kituo cha Mafunzo ya Kilimo cha Matunda na Mbogamboga kujengwa Nsimbo.

Imewekwa: October 1st, 2021

Mfano wa Kitalu nyumba kinachoendelea kuandaliwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ili kutoa fursa kwa Wakulima wa Matunda na mbogamboga Nsimbo kujifunza katika Kituo cha Elimu ya Kilimo Nsimbo.

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo ya Kilimo Tanzania (ASDPII) kwa kushirikiana na Shirika la HELVETAS Tanzania kupitia Mradi wake wa KIBOWAVI unaojihusisha na Kilimo cha Mbogamboga na Matunda  imeanza Ujenzi wa Kituo cha Mafunzo ya Kilimo kwa Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kitakachotoa Elimu kuhusu mbinu bora na za kisasa za Kilimo cha Mbogamboga na matunda.

Kaimu Afisa Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bw.Lodrick Ntulo amesema Uwepo wa Kituo hicho katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo utasaidia kwa kiasi kikubwa Wakulima wa Nsimbo na Wilaya ya Mpanda kwa ujumla kuondokana na Kilimo cha Mazoea  kisicho na Tija na kwamba kupitia Elimu itakayotolewa  kituoni hapo itasaidia kuongeza Uzalishaji wa Mazao  ya Matunda na Mbogamboga kwa wakulima wa Nsimbo.

Bw.Ntulo ameeleza kuwa Ujenzi wa Kituo hicho unaendelea katika Eneo la Isinde ilipo Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo katika lango la kuingilia Halmashauri kilipo kibao kinachoelekeza Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji ilipo.

Ameeleza kuwa maandalizi ya Kituo hicho yapo katika hatua nzuri kwakuwa mpaka sasa Maji yamekwishapatikana katika Eneo hilo,na eneo kwa ajili ya Vitalu Nyumba limekwishafanyiwa Usafi,Vifaa vya umwagiliaji kwa njia ya Matone vimekwish nunuliwa na kwamba kinachosubiriwa ni Mzabuni alieshinda zabuni ya kufunga Kitalunyumba akamilishe kazi ya Ufungaji kusudi kituo kizinduliwa na kufanya kazi.

Mradi wa KIBOWAVI unatekelezwa katika Kata sita za Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ambapo katika Kata tano kutakuwepo Mashamba ya Mfano  kwa ajili ya kutoa Elimu kwa wakulima katika maeneo yao juu ya mbinu bora na za Kisasa za Kilimo cha Mbogamboga na matunda.

 


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa