• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

“MADAKTARI WA SAMIA” WATUA NSIMBO, MKURUGENZI AWAKARIBISHA WANANCHI KUCHUNGUZA AFYA ZAO

Imewekwa: September 27th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Nsimbo Bi. Christina Daniel Bunini anawakaribisha Wananchi wote wa Nsimbo katika Hospitali ya Wilaya ya Nsimbo kwa ajili uchunguzi wa afya zao na kupata huduma za matibabu ya magonjwa mbalimbali.

Zoezi hilo litafanyika kwa muda wa siku 5, kuanzia Septemba 29, 2025 hadi Oktoba 3, 2025 katika Hospitali ya Wilaya ya Nsimbo.

Katika zoezi hilo kutakuwa na Timu ya Madaktari saba (7) wabobevu;

(1) Daktari bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Ukunga

(2) Daktari bingwa wa Magonjwa ya Watoto na watoto Wachanga

(3) Daktari bingwa wa Upasuaji

(4) Daktari bingwa wa usingizi

(5) Daktari bingwa wa Magonjwa ya ndani

(6) Daktari bingwa wa Magonjwa ya kinywa na meno

(7) Mkunga mbobezi

Gharama za huduma katika zoezi hili zitakuwa nafuu, na vilevile Kadi za bima za NHIF zitatumika kwa wale watakaokuwa nazo. Wananchi wote wa Wilaya ya Nsimbo wanasisitizwa kuitumia vyema fursa hii.

Aidha zoezi hilo pia linatarajiwa kuendeshwa katika Halmashauri zote za Mkoa wa Katavi ikiwemo Mpanda Manispaa, Mlele, Mpimbwe na Tanganyika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA November 13, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MPANDA AHIMIZA UPANDAJI MITI, ASISITIZA AMANI NCHINI

    November 26, 2025
  • RC MRINDOKO AWATAHADHARISHA MAWAKALA NA WAFANYABIASHARA WA PEMBEJEO ZA KILIMO

    November 19, 2025
  • PONGEZI KWA PROF RIZIKI SHEMDOE

    November 17, 2025
  • DED NSIMBO AWATAKIA MTIHANI MWEMA WATAHINIWA WA CSEE-2025

    November 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa