• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Mwenyekiti Nsimbo awataka Wananchi kutumia fursa Minada mipya kujikwamua na umasikini.

Imewekwa: September 14th, 2021

Pichani:Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo na Diwani wa Kata ya Ugalla Mh.Halawa Charles Malendeja akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Bulembo waliojitokeza wakati wa uzinduzi wa Mnada wa Mifugo Bulembo 13 Septemb 2021.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Halawa Charles Malendeja ametoa rai kwa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kutumia fursa ya Minada inayoanzishwa kufanya biashara ili kujikwamua na umasikini

Mwenyekiti Malendeja ameyasema hayo alipotembelea mnada mpya ulioanzishwa katika Kijiji cha Bulembo Septemba 13 2021 ikiwa ni jitihada za Halmashauri kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato kupitia minada mbalimbali ndani ya Halmashauri.

Amesema kuanzishwa mnada wa Bulembo ni Fursa  kwa Wananchi wa Kata ya Bulembo  kupanua wigo wa baiashara jambo litakaloinua kipato cha mtu mmojammoja na hatimae maendeleo katika Kata ya Litapunga yataonekana na kwamba umasikini utatoweka

Afisa Mifugo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bw.Daniel Walakunga amesema mnada ulioanzishwa katika Kijiji cha Bulembo Litapunga utakuwa ukifanyika kila Siku ya Jumatano kufuatia maoni mbalimbali yaliyotolewa na Wafanyabiashara katika Mnada huo mpya wa Bulembo.

Amesema Halmashauri itaendelea kuanzisha minada kila itakapohitajika lengo likiwa ni kupanua wigo wa Biashara ambapo mpaka sasa minada mbalimbali ya Mifugo imeanzishwa ndani ya Halmashauri ili kuhakikisha kuwa Ushuru wa Mifugo unatozwa ipasanyo.

Walakunga ameongeza kuwa  kuansishwa kwa Mnada huo ni jitihada za Halmashauri kupanua wigo wa ukusanyaji mapato kupitia tozo za  ushuru wa bidhaa mbalimbali zitakazokuwa zikiuzwa ndani ya mnada huo hususani Ushuru wa Mifugo

Amesema Lengo ni kufanya mnada wa Bulembo kuwa mnada mkubwa wa Mifugo jambo litakalosaidia Halmashauri kukusanya kwa urahisi Ushuru wa Mifugo na pia kusaidia kwa sehemu kubwa kuboresha mazingira ya Wafugaji kufanya biashara na kujipatia kipato na kwamba kabla ya kuanza kutoza ushuru watajenga mazingira rafiki yatakayowezesha mnada huo kukua

Wafanyabiashara walioshiriki katika mnada huo mpya wa Bulembo  wameiomba Halmashauri kujenga mazingira mazuri ikiwa ni pamoja na miundombinu ya Vyoo sambamba na kuvuta subira ili biashara ishamiri kabla ya kuanza kutoza ushuru jambo ambalo linaweza kuathiri  kwa haraka kukua kwa mnada huo.





Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa