• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Mwenyekiti Nsimbo awataka Watendaji kukamilisha Malengo kuelekea Mwishoni mwa Mwaka wa Fedha

Imewekwa: April 21st, 2022

Nsimbo-Mtapenda

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mhe. Halawa Charles Malendeja amewataka Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo  kuhakikisha  wanatimiza malengo  ya Mwaka yaliwekwa katika kipindi cha kuelekea Mwishoni mwa mwaka wa Fedha 2021/2022.

Mh.Halawa ametoa rai hiyo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Madiwani  unaoketi kujadili taarifa za robo ya tatu ya Mwaka wa fedha 2021/2022 ulioanza kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Aidha Mh Halawa amewataka watendaji wa Halmsahauri Nsimbo kuhakikisha kuwa wanajizatiti katika ukusanyaji wa mapato ili kufikia na ikiwezekana kuvuka malengo ya ukusanyaji Halmsahauri iliyojiwekea.

Amewahimiza kuhakikisha kuwa miradi yote ya maendeleo iliyopangwa kutekelezwa kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 yanakamilika kama ilivyopangwa.

Mkutano huo wa Baraza la madiwani utamalizika 22 Aprili 2022 ambapo kwa siku ya leo 21 Aprili 2022 Taarifa za Utekelezaji za Kata kutoka Kata 12 za Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo zimewasilishwa na kujadiliwa.

Matangazo

  • MAFUNZO YA SENSA KWA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA TEHAMA, UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 26, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA KAMPENI YA UPANDAJI MITI 1,500,000 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    January 25, 2023
  • MILIONI MIA MOJA NA TISA ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    June 29, 2022
  • Kamati za Sensa za Vitongoji, Vijiji na Kata Nsimbo wajengewa uwezo wa kutekeleza majukumu yao

    May 27, 2022
  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa