• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

NSIMBO KUPANDISHA MAPATO KUPITIA SEKTA YA MADINI

Imewekwa: December 16th, 2024

Halmashauriya Wilaya ya Nsimbo imeonyesha dhamira ya dhati ya kukuza mapato yake kupitiachanzo cha madini, hatua inayolenga kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kuboreshamaisha ya wananchi wa Halmashauri hiyo. Dhamira hii ilidhihirika kupitia ziaraya madiwani wa Halmashauri ya Nsimbo, wakiambatana na Mkurugenzi Mtendaji waHalmashauri hiyo, Eng. Stephano B. Kaliwa, pamoja na baadhi ya wataalamu naviongozi wa chama tawala. Ziara hiyo ilikuwa na lengo la kuongeza ujuzi nauzoefu katika mbinu bora za ukusanyaji wa mapato, hususan kupitia rasilimali zamadini.

Walipokelewakwa ukarimu na wenyeji wa Halmashauri ya Nyang’wale na Geita, ambapo walifanyakikao kifupi cha mafunzo. Katika kikao hicho, wenyeji walieleza namnawanavyokusanya mapato kwa kutumia vyanzo vya madini, na kuwaonyesha mifanohalisi kwa kuwapitisha kwenye maeneo ya migodi. Madiwani na viongozi wa Nsimbowaligundua vyanzo vipya vya mapato ambavyo wamekusudia kuviweka kwenye sheriandogo za halmashauri yao ili kuhakikisha vyanzo hivyo vinatumika ipasavyokatika ukusanyaji wa mapato. 

WalitembeleaHalmashauri ya Nyang’wale, hususan mgodi mdogo wa Isonda Gold Minersunaomilikiwa na mzawa, na Halmashauri ya Geita Mjini, ambapo walijifunza mbinumbalimbali za kubuni na kutekeleza vyanzo vya mapato. Katika ziara hiyo,walibaini umuhimu wa kutunga na kutekeleza sheria ndogo zitakazowezeshaukusanyaji wa ushuru kwa uhalali katika vyanzo vipya vya mapato, hatua ambayoinalenga kuongeza mapato ya halmashauri hiyo kutoka shilingi bilioni 1.8 hadibilioni 3 kwa mwaka. 

MkurugenziMtendaji, Eng. Stephano B. Kaliwa, alisisitiza kuwa halmashauri hiyo ipo tayarikubuni mikakati thabiti na kuweka sheria ndogo zitakazowataka wachimbaji wadogowa madini kufuata taratibu za ulipaji ushuru. Sheria hizi zinalenga kuimarishauwajibikaji na kuhakikisha mapato yanayokusanywa yanatumika kwa maendeleo yajamii, ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma za kijamii na kuinua uchumi wa eneohilo.

Hatuahii ni muhimu sana kwa Halmashauri ya Nsimbo, kwani itahakikisha rasilimalizake za madini zinatumika kikamilifu kuchangia maendeleo ya kiuchumi nakuboresha maisha ya wananchi kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa