• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

NSIMBO YAPOKEA SHILINGI BILIONI 1.01 KUTEKELEZA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO KATIKA BAJETI YA 2025/2026 KUTOKA SERIKALI KUU

Imewekwa: August 5th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi imepokea kiasi cha shilingi Bilioni moja na Milioni kumi (1,010,000,000/=) kutoka Serikali kuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimabali ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Katika kutekeleza kwa ufanisi miradi hiyo iliyolengwa na kupewa kipaumbele, fedha hizo zimegawanywa katika miradi mbalimbali ikiwemo Afya, Elimu na miradi mingine hususani utawala.

Kwa upande wa Afya shilingi milioni mia mbili (200,000,000) zimetengwa kwaajili ya ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali ya Wilaya na vituo vya afya nakatika Zahanati mbalimbali vilivyopo Halmashauri ya Nsimbo.

Aidha, kwa upande wa elimu kiasi cha shilingi milioni mia moja na kumi (110,000,000/=) zimetengwa kwaajili ya miradi ukamilishaji wa maabara katika shule za sekondari na umaliziaji wa madarasa katika shule za msingi.

Sambamba na miradi hiyo ya Elimu na Afya, jumla ya shilingi milioni mia saba (700,000,000/=) zimetengwa kwaajili ya ujenzi wa majengo ya utawala pamoja na ufutiliaji na tathmini ya miradi katika Halmashauri ya Wilaya Nsimbo

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BEVAC YAKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA CHAMA CHA USHIRIKA CHA UFUGAJI NYUKI – NSIMBO

    August 13, 2025
  • CRDB BANK YATOA MSAADA WA VITI NA MEZA SITINI KWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KATAVI

    August 12, 2025
  • NSIMBO YAPOKEA SHILINGI BILIONI 1.01 KUTEKELEZA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO KATIKA BAJETI YA 2025/2026 KUTOKA SERIKALI KUU

    August 05, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPEWA MAFUNZO - JIMBO LA NSIMB0

    August 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa