• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA NSIMBO

Imewekwa: April 30th, 2025

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Uchaguzi Nsimbo anawatanganzia wananchi wa Nsimbo vituo vitakavyo tumika katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu ya wapiga kura kwa kila kata. 

Kata ya Ibindi itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Shule ya Msingi Ibindi na Shule ya Msingi Muungano

Kata ya Itenka itakuwa na vituo vitatu vya uboreshaji ambavyo ni Ofisi ya Kijiji Tumaini, Shule ya Msingi Itenka 'A' na Shule ya Msingi Itenka 'B'

kata ya Kanoge itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Ofisi ya Kijiji Kabuga na Shule ya Sekondari Kanoge

Kata ya Kapalala itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata na Shule ya Msingi Songambale

Kata ya Katumba itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Ofisi ya Kijiji Ivungwe B na Shule ya Sekondari Katumba

Kata ya Litapunga itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Ofisi ya Afisa Mtendaji Kata na Ofisi ya Kijiji Kambuzi A

Kata ya Machimboni itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Shule ya Msingi Katisunga na Shule ya Sekondari Machimboni

Kata ya Mtapenda itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Shule ya Msingi Isinde na Shule ya Msingi Mtapenda.

Kata ya Nsimbo itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Shule ya Msingi Isanjandugu na Shule ya Msingi Filimule

Kata ya Sitalike itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Shule ya Msingi Magula na Zahanati ya Sitalike

Kata ya Ugalla itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Shule ya Msingi Ugalla na Shule ya Msingi Mnyamasi

Kata ya Uruwira itakuwa na vituo viwili vya uboreshaji ambavyo ni Shule ya Msingi Uruwira na Shule ya Msingi Usense

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa