• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

Imewekwa: May 1st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwamvua Mrindoko, ameongoza maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), akisisitiza umuhimu wa kutoa heshima kubwa kwa wafanyakazi ili kuongeza ari na motisha kazini. Amesema kutambua mchango wa wafanyakazi ni njia madhubuti ya kuongeza tija katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.

Aidha, Mhe. Mrindoko amesisitiza kuwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi wanapaswa kushirikiana na Serikali katika kuboresha ustawi wa wafanyakazi nchini. Amesema anawapongeza watumishi kwa bidii na uadilifu katika utendaji kazi, na kuwataka waendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais kwa kuwa wao ndio mashuhuda wa mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita.

Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa Serikali inaendelea kutoa fedha za maendeleo, ambapo hadi sasa zaidi ya shilingi trilioni 1.3 zimetolewa kwa ajili ya shughuli mbalimbali, ikiwa ni pamoja na malipo ya posho, likizo na mafao ya wafanyakazi, kwa kuzingatia sheria na taratibu zilizowekwa.

Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Mkurugenzi Mtendaji, wakuu wa idara na watumishi wamehudhuria kwa pamoja, wakionesha mshikamano na uzalendo.

 Maadhimisho hayo pia yamehusisha utoaji wa zawadi kwa wafanyakazi bora kutoka sekta mbalimbali, kama ishara ya kutambua mchango wao katika maendeleo. Baadhi ya wafanyakazi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wamepokea tuzo, ikiwa ni sehemu ya kutambua utendaji wao bora katika Mkoa wa Katavi na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa