• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUPANDA MITI NA KUITUNZA

Imewekwa: December 9th, 2024

Wananchi katika Halmashauri Nsimbo, wametakiwa kuwa na utamaduni wa kupanda miti na kuitunza ili kukabiliana na tatizo la uharibifu wa mazingira. Wito huo umetolewa na Afisa Tarafa ya  Nsimbo ambaye alimwakilisha Mkuu wa wilaya ya Mpanda  Mhe. Jamila Yusuph katika maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika. Katika kilele Cha maadhimisho hayo amewahimiza Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kujenga tabia ya kupanda miti pamoja na kuitunza. "Natoa wito kwa Taasisi zote zilizopo Halmashauri ya Nsimbo kuhakikisha wanapanda miti Katika maeneo yao", Amesema Afisa Tarafa.

 Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na Watumishi wote wa Umma, Viongozi wa Dini, Viongozi wa vyama vya Siasa, Wanafunzi, asasi za kiraia na makundi mbalimbali. Sherehe za maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru zimehitimishwa kwa michezo mbalimbali iliofanywa kabla ya Disemba 09 ikiwemo midahalo na mabonanza mbalimbali.

Matangazo

  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HUDUMA ZA AFYA, LISHE NA USTAWI WA JAMII ZABORESHWA NSIMBO DC

    August 26, 2025
  • BEVAC NSIMBO NA TANGANYIKA YAKABIDHIWA VITUO VYA KUKUSANYIA MAZAO YA NYUKI

    August 19, 2025
  • BEVAC YAKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA CHAMA CHA USHIRIKA CHA UFUGAJI NYUKI – NSIMBO

    August 13, 2025
  • CRDB BANK YATOA MSAADA WA VITI NA MEZA SITINI KWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KATAVI

    August 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa