Imewekwa: September 25th, 2025
Mwenge wa Uhuru leo umekimbizwa takribani kilometa 91.4 ukikagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi.
Katika mbio hizo za Mwenge wa Uhuru, Miradi kum...
Imewekwa: September 24th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mhe. Jamila Yusuph Kimaro anawatangazia Wananchi wote kuwa Halmashauri ya Nsimbo itapokea Mbio za Mwenge wa Uhuru tarehe 25/09/2025 katika Kata ya Mtapenda Shule ya Sekondari ...
Imewekwa: September 9th, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi. Christina Daniel Bunini, amewatakia mtihani mwema watahiniwa wote wanaohitimu Elimu ya Msingi unaotarajia kufanyika tarehe 10-11 Septemba 202...