Utangulizi
Idara ya Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, ilianzishwa baada ya kuongezwa kwenye Muundo wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa tangu 29 Januari 2014 ambapo hapo awali ilikuwa ni sehemu ya Idara ya Ardhi, Maliasili na Mazingira.
Jina:Vicent Fabian Kasukumpa
Cheo:Kaimu Mkuu wa Idara ya Mazingira na udhibiti taka ngumu
Elimu:Shahada ya Mipango ya Mazingira
Taasisi:IRDP-Dodoma
Mawasiliano:Simu: 0756865353
Jina:Daud B.Buyagu
Cheo:Afisa Mazingira
Elimu: PGDE, OUT - 2012; BA.GES,UDSM-2009
Mawasiliano:
Simu: +25575686535
+255623355994
Barua pepe:buyagudaud@gmail.com
Majukumu ya Idara
Majukumu ya Idara ya Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimboyamegawanyika katika sehemu mbili ambazo ni Hifadhi ya Mazingira na Udhibiti wa taka ngumu.
Sehemu ya kwanza
Hifadhi ya mazingira
B: Udhibiti na Uchafuzi wa Mazingira (Ardhi, Maji, Hewa na Sauti) (pollution Control: Land, Water, Air and Sound)
Kuandaa tathmini ya kimkakati kwa mazingira kwa mipango na program za Halmashauri zinazotakiwa kufanyiwa tathmini hiyo kama zilizyobainishwa katika sheria yausimamizi wa Mazingira na kanuni zake
D: Uhifadhi wa muda, Uchambuzi na Usafirishaji Taka Ngumu (Solid Waste Storage, Sorting, Transportation)
E: Uchambuaji, utupaji taka ngumu na uendeshaji Dampo la kisasa (Sorting and Sanitary Disposal of Solid Waste and Dumpsite Management):
Sehemu ya pili: Udhibiti taka ngumu
Usafirishaji na Ukusanyaji wa Taka Ngumu kutoka kwenye majengo, maeneo ya wazi, barabara na Mifereji ya kuondoa maji ya mvua (Cleaning of Buildings, Open Spaces, Roads na Drainages):
Mpanda to Tabora road
Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda
Simu : 025 295 5164
Simu: 025 295 5164
Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz
Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa