• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Historia

Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Kuanzishwa:

Halmashauriya Wilaya ya Nsimbo ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria namba 7 ya Mamlaka za  Serikali za Mitaa ya mwaka 2002, Kifungu namba 8 na 9 na kutangazwa kupitia Tangazo la Serikali namba 361 Tarehe 23 Disemba 2012 na kuanza rasmi Julai 1,2013.


Halmashauri hii imeanzishwa kutokana na  Halmashauri mama ya Wilaya ya Mpanda iliyokuwa Mkoani Rukwa hapo awali ambapo baada ya  kutenganishwa ndipo zilizaliwa Halmashauri za Nsimbo na Mlele.

Mahali ilipo:

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo inapakana na Halmashauri 3.Kwa upande wa Kaskazini inapakana na Halmashauri ya Wilaya ya Urambo iliyoko Mkoani Tabora,Kaskazini Magharibi na Kusini Magharibi inapakana na Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda ,kwa Upande wa Magharibi inapakana na Manispaa ya Mpanda,kwa Upande wa kusini Nsimbo inapakana na Wilaya ya Sumbawanga iliyoko Mkoani Rukwa,ambapo kwa upande wa Mashariki na Kusini Mashariki inapakana na Wilaya ya Mlele.

Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo yapo katika  Kata ya Mtapenda iliyoko njia ya kuwenda Tabora,Kilomita 17 kutoka Mpanda Mjini.

Katika Mipaka ya Kimataifa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo inpatikana katika Latitude 5o 0, na 7o 30,kusini mwa Ikweta na Longitudo 29o 0, na 30 o 0,mashariki mwa Griniwichi.


Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo inakadiriwa kuwa na ukubwa wa Kilometa za Mraba 14,623,ambayo ni asilimia  30.8 ya eneo lote la Mkoa wa Katavi ambalo ni tambarale yenye miinuko na mabonde machache ambapo karibia eneo lote linatumika kwa shughuli za kibinadamu.

Hali ya Hewa.

Hali ya Hewa ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo hubadilika kutegemeana na mwinuko kutoka usawa wa bahari na hutgemea uoto  wa asili wa Vichaka na uoto wa Misitu.


Viongozi wa Halmashauri:

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo tangu kuanzishwa kwake imewahi kuongozwa na Viongozi mbalmbali.Wafuatao ni Wakurugenzi waliowahi kuiongoza Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo


Rashid Neneka

-Mkurugenzi Mtendaji na Mwasisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo:2013-2015


Michael F.Nzungu

Mkurugnzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2015-2016


Mwailwa Pangani

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2017-2018


Mohamed Ramadhani

Mkurugenzi Mtedaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2018-hadi 2024


Eng. Stephano B. Kaliwa

Mkurugenzi Mtedaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2024-hadi 2025


Bi. Christina Daniel Bunini

Mkurugenzi Mtedaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2025-hadi sasa











Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa