• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Historia

Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Kuanzishwa:

Halmashauriya Wilaya ya Nsimbo ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria namba 7 ya Mamlaka za  Serikali za Mitaa ya mwaka 2002, Kifungu namba 8 na 9 na kutangazwa kupitia Tangazo la Serikali namba 361 Tarehe 23 Disemba 2012 na kuanza rasmi Julai 1,2013.


Halmashauri hii imeanzishwa kutokana na  Halmashauri mama ya Wilaya ya Mpanda iliyokuwa Mkoani Rukwa hapo awali ambapo baada ya  kutenganishwa ndipo zilizaliwa Halmashauri za Nsimbo na Mlele.

Mahali ilipo:

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo inapakana na Halmashauri 3.Kwa upande wa Kaskazini inapakana na Halmashauri ya Wilaya ya Urambo iliyoko Mkoani Tabora,Kaskazini Magharibi na Kusini Magharibi inapakana na Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda ,kwa Upande wa Magharibi inapakana na Manispaa ya Mpanda,kwa Upande wa kusini Nsimbo inapakana na Wilaya ya Sumbawanga iliyoko Mkoani Rukwa,ambapo kwa upande wa Mashariki na Kusini Mashariki inapakana na Wilaya ya Mlele.

Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo yapo katika  Kata ya Songambele iliyoko njia ya kuwenda Tabora,Kilomita 17 kutoka Mpanda Mjini.

Katika Mipaka ya Kimataifa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo inpatikana katika Latitude 5o 0, na 7o 30,kusini mwa Ikweta na Longitudo 29o 0, na 30 o 0,mashariki mwa Griniwichi.


Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo inakadiriwa kuwa na ukubwa wa Kilometa za Mraba 14,623,ambayo ni asilimia  30.8 ya eneo lote la Mkoa wa Katavi ambalo ni tambarale yenye miinuko na mabonde machache ambapo karibia eneo lote linatumika kwa shughuli za kibinadamu.

Hali ya Hewa.

Hali ya Hewa ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo hubadilika kutegemeana na mwinuko kutoka usawa wa bahari na hutgemea uoto  wa asili wa Vichaka na uoto wa Misitu.


Viongozi wa Halmashauri:

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo tangu kuanzishwa kwake imewahi kuongozwa na Viongozi mbalmbali.Wafuatao ni Wakurugenzi waliowahi kuiongoza Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo


Rashid Neneka

-Mkurugenzi Mtendaji na Mwasisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo:2013-2015


Michael F.Nzungu

Mkurugnzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2015-2016


Mwailwa Pangani

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2017-2018


Mohamed Ramadhani

Mkurugenzi Mtedaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

2018-hadi sasa










Matangazo

  • MAFUNZO YA SENSA KWA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA TEHAMA, UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 26, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA KAMPENI YA UPANDAJI MITI 1,500,000 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    January 25, 2023
  • MILIONI MIA MOJA NA TISA ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    June 29, 2022
  • Kamati za Sensa za Vitongoji, Vijiji na Kata Nsimbo wajengewa uwezo wa kutekeleza majukumu yao

    May 27, 2022
  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa