IDARA YA ELIMU MSINGI
Idara ya Elimu Msingi inatekeleza majukumu mbali mbali kama vile kuandaa, kusimamia, kuratibu na kufuatilia utolewaji wa elimu ya awali, elimu msingi, elimu ya watu wazima, Elimu Maalum na kukusanya takwimu za elimu katika halimashauri kwa kuzingatia Sera na Miongozo mbalimbali inayotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na teknolojia, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Sekretarieti ya Mkoa wa Katavi.
Wataalamu wa Idara.
Jina: Marcus K. Nazi
Cheo: Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi.
Elimu:Shahada ya Kwanza ya Sanaa katika ELimu
(Chuo Kikuu Teofilo Kisanji TEKU-Mbeya)
Mawasliano:
Simu-+255756444455 au +255782311926
Email:nazirimarcus@gmail.com
Jina:Edwin J. Fande
Cheo: Afisa Taaluma Wilaya Msingi
Elimu:Stashahada ya Elimu.
(Chuo Cha Ualimu Butimba)
Mawasiliano:
Tel: +255756843456
Email: Edwinfande2015@gmail.com
Jina: Clever M. Mngao
Cheo: Afisaelimu Elimu Maalum Wilaya
Elimu: Shahada ya Kwanza ya Elimu- Elimu Maalum
(Chuo Kikuu Cha Tumaini SEKUCO-Tanga)
Mawasiliano:
Tel: +255762393027
Email: cmngao@yahoo.com
Jina: Jackson Aloyce
Cheo: Afisa elimu Vifaa na Takwimu Wilaya.
Elimu:Shahada ya Kwanza ya Sanaa katika ELimu
(Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustine Tanzania RUCO-Iringa)
Mawasliano:
Simu-+255755999439
Email:jacksonaloyce35@gmail.com
Jina: Josephat J. Mchayano
Cheo: Afisa elimu Msaidizi Vifaa na Takwimu Wilaya.
Elimu: :Shahada ya Kwanza ya Sanaa katika ELimu
(Chuo Kikuu Teofilo Kisanji TEKU-Mbeya)
Mawasliano:
Simu-+255757452943
Email:mchayanojj@gmail.com
Jina: Oliver Joseph
Cheo: Kaimu Afisa Elimu ya Watu Wazima.
Elimu: :Shahada ya Kwanza ya Sanaa katika ELimu
(Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania)
Mawasliano:
Simu-+255628978762
Email:oliverjoseph94@yahoo.com
Jina: Didas Benard Mwanahewa
Cheo: Afisa elimu Msaidizi Taaluma.
Elimu: :Shahada ya Kwanza ya Sanaa katika ELimu
(Chuo Kikuu Teofilo Kisanji TEKU-Mbeya)
Mawasliano:
Simu-+255753478072
Email:mwanahewad2003@gmail.com
Jina: Zurieth Chubwa
Cheo: Katibu Mahsusi daraja I.
Elimu:Certificate in Secretarial Services
Chuo:Chuo cha Utumishi wa Umma-Tabora
Mawasliano:
Simu-+255762286961
Jina: Vaileth Lubendegele
Cheo: Mtunza Kumbu Kumbu.
Elimu:Certificate in Record Management
Chuo:Chuo cha Utumishi wa Umma-Tabora
Mawasliano:
Simu-+255763848287
Email:mailaclarissa@gmail.com
MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU MSINGI
KAZI NA MAJUKUMU YA KILA MTUMISHI
(i) AFISA ELIMU
Afisaelimu wa Wilaya ana majukumu yafuatayo: -
(ii) AFISA ELIMU TAALUMA
Afisaelimu Taaluma wa Wilaya ana majukumu yafuatayo:-
(iii) MAJUKUMU YA AFISAELIMU WA VIFAA NA TAKWIMU WA WILAYA
(iv) AFISA ELIMU YA WATU WAZIMA
Afisa elimu ya Watu Wazima anatakiwa kuwa na majukumu yafuatayo:-
(v) AFISA ELIMU UFUNDI
Kama Afisaelimu Ufundi ana majukumu yafuatayo:-
(vi) AFISA ELIMU WA ELIMU MAALUM
Afisa Elimu Maalumu anahusika kufanya yafuatayo katika ngazi ya Wilaya:-
(vii) AFISA ELIMU SAYANSI KIMU
Afisaelimu Sayansi Kimu na Afya wa Wilaya ana majukumu
yafuatayo:-
(viii) AFISA MICHEZO NA UTAMADUNI
Afisaelimu Michezo na Utamaduni ana majukumu yafuatayo:-
(ix) BOHARIA
Boharia wa Idara ya Elimu ana majukumu yafuatayo:-
(x) WATUMISHI WASIO WALIMU
(xi) OS
Kama Msaidizi wa Ofisi ana majukumu yafuatayo:-
(xii) WAHUDUMU WA MASIJALA.
Msaidizi wa Ofisi ana majukumu yafuatayo:-
(xiii) MHASIBU WA IDARA.
Kama bwana fedha wa Idara anawajibika:-
(xiv) KATIBU MUHTASI WA IDARA.
Kama Katibu Muhtasi wa Afisaelimu ana majukumu yafuatayo:-
Mpanda to Tabora road
Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda
Simu : +255739992124
Simu: +255787992124
Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz
Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa