• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Elimu Sekondari

WASIFU WA IDARA YA ELIMU SEKONDARI

Idara ya Elimu Sekondari ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ina  jukumu kubwa la usimamizi uratibu, ufuatiliaji, pamoja na uandaaji wa Mipango na mikakati ya uendeshaji wa Shule zote za Sekondari, walimu, wanafunzi na watumishi wengine katika idara. Idara pia inalo jukumu la kuandaa bajeti na mahitaji ya samani, miundombinu pamoja na vifaa vyote vinavyohitajika katika elimu ya Sekondari.

Wataalamu wa Idara

 

Jina: Said J. Mmaraba

Cheo: Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari

Elimu: Shada ya kwanza ya Sayansi katika Elimu

(Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-Dar es Dalaam)

Mawasliano: 

Simu-+255759430979

Email: smmaraba@yahoo.com

 

 

 

Jina: Amani Gisbert Ntibakazi

Cheo: Afisaelimu Vifaa na Takwimu

Elimu: Shahada ya kwanza ya Elimu

(Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino-Mwanza)

Mawasiliano:

 Tel: +255767061789

ntibakazig@gmail.com

 

 

 

 

Jina: Msambya Sady Ally

Cheo: Mwalimu IIIC

ELimu: Shahada ya kwanza ya Elimu

(Chuo Kikuu cha Dar es Salaam - Dar es salaam)

Mawasiliano:

 Simu: +255766900847

E-Mail- almsambya@gmail.com

 

 

 

Jina: Mhangwa J. Sekule

Cheo: Mwalimu IIIC

Elimu: Shahada ya Uzamili katika Elimu

 (Chuo cha Mtakatifu Yohana-Dodoma)

Mawasiliano:

+255769721411

 smhangwa@gmail.com

 

 

 

 

 

 

         

Majukumu ya Idara:

1. Kuwasilisha taarifa za elimu ya Sekondari katika ngazi zote za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

2. Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa sera ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, sheria na kanuni zinazoongoza utoaji   wa elimu ya Sekondari.

3. Kusimamia na kudhibiti mapato na matumizi ya elimu ya Sekondari na kuhakikisha kuwa fedha za Elimu ya Sekondari zinatumika kama ilivyokusudiwa ie, kununulia vitabu, vifaa vya kujifunzia na vifaa vya michezo.

4. Kusimamia upanuzi wa elimu ya Sekondari.

5. Kusimamia na kuratibu maslahi ya Walimu na Watumishi wasio Walimu katika ngazi ya Sekondari.

6. Kuratibu na kusimamia mitihani ya Kitaifa inayoendeshwa katika Shule za Sekondari.

7. Kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo  ya Elimu ya Sekondari ya kila mwaka.

8. Kufuatilia na kutathimini maendeleo ya Elimu ya Sekondari

9. Kuhimiza Shule zote kuboresha miundo mbinu ya kujifunza na kufundishia kama vile ujenzi wa madarasa, maabara, vyoo na nyumba za Walimu.

10. Kuhiniza na kudhibiti nidhamu ya Walimu na Wanafunzi wa Shule za Sekondari.

11. Kusimamia maendeleo ya taaluma na michezo ya Shule za Sekondari katika Harimashauri.

12. Kuratibu, kukusanya na kuchambua takwimu za elimu ya Sekondari.

13. Kuhakikisha kuwa Walimu wote wanaoajiriwa wanapangwa katika Shule kuzingatia ikama.

Matangazo

  • MAFUNZO YA SENSA KWA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA TEHAMA, UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KWENYE KAZI YA MUDA YA UKARANI NA USIMAMIZI WA SENSA July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 26, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UZINDUZI WA KAMPENI YA UPANDAJI MITI 1,500,000 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    January 25, 2023
  • MILIONI MIA MOJA NA TISA ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    June 29, 2022
  • Kamati za Sensa za Vitongoji, Vijiji na Kata Nsimbo wajengewa uwezo wa kutekeleza majukumu yao

    May 27, 2022
  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa