KITENGO CHA HABARI MAWASILIANO TEHAMA NA UHUSIANO HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO
Utangulizi.
Kitengo cha Habari Mawasiliano TEHAMA na Uhusiano Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kinatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya TEHAMA ya mwaka 2003,Sheria mpya ya Huduma za Habari ya mwaka2016,Sheria ya Utangazaji Na. 6 ya Mwaka 1993,pamoja na miongozo mbalimbali inayotolewa na mamlaka ya mawasiliano Tanzania, Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na Wizara ya Habari Sanaa Utamaduni na Michezo .
Wataalamu wa Kitengo.
Wataalamu wa Kitengo cha Habari Mawasiliano TEHAMA na Uhusiano Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ni kama inavyoonekana katika Jendwali hapo chini;
Jina:John A.Mganga
Cheo: Afisa Habari na Kaimu Mkuu wa Kitengo.
Elimu:Shahada ya Kwanza ya Habari
(Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini Iringa-kwa sasa University of Iringa)
Mawasiliano:
Simu:0746310716
Barua pepe: jhndoctor@gmail.com
Jina:Alfred Nixon Igoko
Cheo:Afisa TEHAMA
Elimu:Shahada ya Sayansi ya Kompyuta
(Chuo Kikuu Kishiriki Ruaha-Kwa sasa Chuo cha Katoliki Ruaha)
Mawasiliano: 0755680493
Barua pepe:nickyalfred43@gmail.com
Majukumu ya Kitengo.
Mpanda to Tabora road
Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda
Simu : 025 295 5164
Simu: 025 295 5164
Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz
Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa