• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Uchimbaji Madini

Takribani eneo zima la Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo limetapakaa madini aina mbali mbali, inasemekana zipo aina 25 za madini zimegundulika ambazo baadhi yake utafiti wa kina unafanyika ili kupata kiwango cha uwepo wake.

  Uchimbaji wa madini yaliyopo si wa kitaalamu yaani wa kutumia nyenzo za kisasa kuweza kuzalisha kiasi kikubwa cmadini ukilinganisha na uwezo wake.Aina za madini yapatikanayo katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ni Dhahabu, Shaba, Fedha, Risasi, Tungsten, Rose Quarts na Nitre.


 Madini ya Dhahabu yanachimbwa katika maeneo ya Machimboni, Uruwira, Kapapa, Singililwa, Society, Katisunga, Ibindi, Itenka, Sitalike. Madini ya Shaba yanapatikana katika maeneo ya Ibindi, Ugalla, na Singililwa. 


Madini ya fedha hupatikana kwenye maeneo ya Ibindi, Sikitiko na Kapalala. Pia, madini ya Risasi hupatikana Nsimbo na Uruwira. Madini ya Tungsten hupatika Ibindi Njiapanda, wakati madini ya Rose Quarts na Nitrate hupatikana huko Ugalla.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI March 08, 2021
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Milioni 122,500,000 zanufaisha Wajasiriamali Nsimbo.

    April 14, 2021
  • Angalia zote

Video

Mwenyekiti Nsimbo akemea Uchangiaji holela wa vyombo vya kunywea pombe vilabuni
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +2552955164

    Simu: +255713992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa