• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kilimo

Kilimo ni shughuli kuu ya kiuchumi ambapo hekta 2,778,330 za ardhi zinafaa kwa kilimo.

 Mazao makuu ya chakula ni mihogo, mahindi, mpunga, viazi vitamu, ndizi, ulezi, viazi mviringo, mboga za majani na matunda. 

Mazao makuu ya biashara ni Tumbaku, Karanga, Alizeti, Ufuta na Miwa. Shughuli za uvuvi hufanyika katika mto Ugalla na Katuma. 

Katika jumla ya hekta 2,778,330 zinazofaa kwa shughuli za kilimo cha mazao ya chakula na biashara,ati ya eneo hilo hekta 806 zinafaa kwa shughuli za umwagiliaji katika skimu 4 kubwa ambazo ni skimu ya Ugalla 225Ha, Uruila 350Ha, Usense 106Ha na Kambuzi Halt 125Ha.

Skimu hizi zinafaa kwa shughuli za kilimo kwa kipindi cha mvua na kiangazi kwa kuwa zina maji ya kutosha. Pia. Ghala moja la mazao ya kilimo limejengwa katika kijiji cha Uruwira na ghala la Kambuzi Halt lipo katika hatua ya umaliziaji.

Hakuna mwekezaji mkubwa aliyejitokeza kuwekeza katika kilimo na ufugaji.  Kuna fursa kubwa ya kuwekeza katika mitambo ya kukoboa mpunga, kusaga mahindi, kusindika nafaka za mafuta n.k.

Uzalishaji wa mazao katika Halmshauri ya wilaya ya Nsimbo kwa kipindi cha mwaka 20014/2015 na malengo kwa msimu 2015/2016 ni kama ifuatavyo:-

Matangazo

  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Mwenyekiti Nsimbo awataka Watendaji kukamilisha Malengo kuelekea Mwishoni mwa Mwaka wa Fedha

    April 21, 2022
  • ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA KUFANYA KAZI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    March 23, 2022
  • Kaimu DED Nsimbo akagua Ujenzi Miradi Kata ya Ugalla, Asisitiza maandalizi ya manunuzi ya Vifaa kwa wakati kutoathiri kasi ya Ujenzi.

    March 22, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +255739992124

    Simu: +255787992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa