• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kilimo

Kilimo ni shughuli kuu ya kiuchumi ambapo hekta 2,778,330 za ardhi zinafaa kwa kilimo.

 Mazao makuu ya chakula ni mihogo, mahindi, mpunga, viazi vitamu, ndizi, ulezi, viazi mviringo, mboga za majani na matunda. 

Mazao makuu ya biashara ni Tumbaku, Karanga, Alizeti, Ufuta na Miwa. Shughuli za uvuvi hufanyika katika mto Ugalla na Katuma. 

Katika jumla ya hekta 2,778,330 zinazofaa kwa shughuli za kilimo cha mazao ya chakula na biashara,ati ya eneo hilo hekta 806 zinafaa kwa shughuli za umwagiliaji katika skimu 4 kubwa ambazo ni skimu ya Ugalla 225Ha, Uruila 350Ha, Usense 106Ha na Kambuzi Halt 125Ha.

Skimu hizi zinafaa kwa shughuli za kilimo kwa kipindi cha mvua na kiangazi kwa kuwa zina maji ya kutosha. Pia. Ghala moja la mazao ya kilimo limejengwa katika kijiji cha Uruwira na ghala la Kambuzi Halt lipo katika hatua ya umaliziaji.

Hakuna mwekezaji mkubwa aliyejitokeza kuwekeza katika kilimo na ufugaji.  Kuna fursa kubwa ya kuwekeza katika mitambo ya kukoboa mpunga, kusaga mahindi, kusindika nafaka za mafuta n.k.

Uzalishaji wa mazao katika Halmshauri ya wilaya ya Nsimbo kwa kipindi cha mwaka 20014/2015 na malengo kwa msimu 2015/2016 ni kama ifuatavyo:-

Matangazo

  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HUDUMA ZA AFYA, LISHE NA USTAWI WA JAMII ZABORESHWA NSIMBO DC

    August 26, 2025
  • BEVAC NSIMBO NA TANGANYIKA YAKABIDHIWA VITUO VYA KUKUSANYIA MAZAO YA NYUKI

    August 19, 2025
  • BEVAC YAKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA CHAMA CHA USHIRIKA CHA UFUGAJI NYUKI – NSIMBO

    August 13, 2025
  • CRDB BANK YATOA MSAADA WA VITI NA MEZA SITINI KWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KATAVI

    August 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa