• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

DC MPANDA AHIMIZA UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA AWALI NA MSINGI

Imewekwa: December 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Mheshimiwa Jamila Yusuph Kimaro, amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda na Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kusimamia kwa ukaribu mchakato wa uandikishaji wa wanafunzi wa elimu ya awali na msingi kwa mwaka wa masomo 2026, ili kuhakikisha watoto wote wenye sifa wanaanza masomo ifikapo Januari 2026.

Mheshimiwa Jamila ametoa agizo hilo Disemba 10, 2025 katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (District Consultative Committee – DCC) kilichofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi. Ametaka Wakurugenzi hao kuhakikisha kuwa kila mtoto mwenye umri na sifa za kuanza shule anaandikishwa ndani ya muda uliopangwa.

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amewataka Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri hizo kusimamia kikamilifu sheria zinazokataza utumikishwaji wa watoto, huku akisisitiza kufanya ukaguzi katika maeneo ya machimbo ya madini ili kubaini watoto wanaofanya shughuli hizo na kuhakikisha wanarejeshwa shuleni.

Jambo lingine ni kwa Wakurugenzi kufanya ukaguzi kwenye maeneo ya machimbo ya madini kwa lengo la kuwabaini watoto ambao wanatakiwa kuwa shuleni, wakasimamie sheria zinazokataza utumikishwaji wa watoto katika maeneo hayo, alisema.

Akitoa taarifa kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Afisa Mipango Bw. Alfred John Rukelegwa alisema kuwa hadi kufikia Disemba 2026 jumla ya wanafunzi 3,902 wameandikishwa kuanza elimu ya msingi katika Halmashauri hiyo. Kati yao wasichana ni 1,936 na wavulana 1,966, sawa na asilimia 51ya lengo la uandikishaji.

Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Jamila amezitaka Halmashauri hizo kufanya mchakato wa kutambua vijana waliopo katika maeneo yao kulingana na elimu, taaluma na shughuli wanazofanya ili kurahisisha serikali kuwafikia na kuwapatia fursa na misaada ya kuwawezesha kiuchumi.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA KIDATO CHA KWANZA 2026 December 04, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA November 13, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC MRINDOKO AHIMIZA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO – NSIMBO DC

    December 17, 2025
  • KAMATI YA SIASA MPANDA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO H/W NSIMBO

    December 19, 2025
  • DC MPANDA AHIMIZA UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA AWALI NA MSINGI

    December 10, 2025
  • NSIMBO YAJIDHATITI KUSIMAMIA VIZURI MIRADI YA MAENDELEO - WAKANDARASI WAAGIZWA KUONGEZA KASI.

    December 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa