• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

DED NSIMBO AWATAKIA MTIHANI MWEMA WATAHINIWA WOTE WANAOHITIMU ELIMU YA MSINGI

Imewekwa: September 9th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi. Christina Daniel Bunini, amewatakia mtihani mwema watahiniwa wote wanaohitimu Elimu ya Msingi unaotarajia kufanyika tarehe 10-11 Septemba 2025.

Akizungumza na baadhi ya watahiniwa katika Shule ya Msingi Songambele iliyoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi, Bi. Christina Bunini amewataka watahiniwa hao kujiamini na kuondoa hofu katika katika kipindi chote cha ufanyikaji wa mtihani huo.

Aidha, amewataka watahiniwa hao kuwa na ujasiri na utulivu pamoja na kufuata taratibu zote zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania.

“Kesho mnaanza mtihani wa kuhitimu Elimu ya Msingi, fanyeni mtihani mkiwa na afya njema, mjiamini kwakuwa mmeshafundishwa vizuri na mko tayari kufanya mtihani. Mfuate taratibu zote za Baraza la Mitihani, Ninawatakia mtihani mwema”

Kwa upande wake, Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri hiyo Mwalimu Frank Sichalwe amewataka wanafunzi kuwa watulivu, wenye ujasiri na kutokuogopa wasimamizi wa mitihani, kwani wao ni wasaidizi watakaohakikisha mitihani inafanyika kwa amani na utulivu.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Jumla ya watahiniwa 3,323 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu Elimu ya Msingi kati yao wasichana wakiwa 1,897 na wavulana 1,426 watakaofanya mtihani huo katika vituo 64.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA MAKARANI NA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA NA KUITWA KUHUDHURIA MAFUNZO YA UCHAGUZI October 23, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA NSIMBO NA TANAPA KUBORESHA UJIRANI MWEMA

    October 28, 2025
  • MILIONI 300 ZATOLEWA KWA KWA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU NSIMBO

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO NA WASIMIZI WASAIDIZI KATIKA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANOLEWA

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZA WAPIGA KURA WAPEWA MAFUNZO - NSIMBO

    October 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa