• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

HALMASHAURI YA NSIMBO NA TANAPA KUBORESHA UJIRANI MWEMA

Imewekwa: October 28th, 2025

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi. Christina Daniel Bunini amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wawakilishi kutoka shirika la hifadhi za Taifa (TANAPA) katika kujadili na kutathmini namna bora ya kuendeleza miradi inayofadhiliwa na shirika hilo na kuborehsa ujirani mwema kati ya shirika la hifadhi za taifa (TANAPA) na Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Bi.Christina amewapongeza TANAPA kwa kudhamini miradi mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Nsimbo ikiwemo mradi wa ujenzi wa shule ya sekodari Sitalike na kusema kuwa kukamilika kwa ujenzi wa shule hiyo kutaongeza chachu ya maendeleo katika wilaya hiyo kwani ni wazi kwamba shule hiyo itazalisha wasomi mbali mbali watakao kuja kuwa wazalishaji mali kwa maendeleo ya halmahauri ya nsimbo na taifa kiujumla.

Katika kuboresha ujirani mwema Bi. Bunini amesisitiza utolewaji wa elimu ya utunzwaji wa mazingira kwa wananchi wote wanoishi katika vijiji vya halmashauri ya wilaya ya Nsimbo ambavyo vinapakana na hifadhi ya taifa ya Katavi ilikuwezesha wananchi hao kuweza kutunza mazingira ya hifadhi zetu na kuboresha mahusiano mema yaliyopo kati ya wanakijiji na shrika la hifadhi za taifa (TANAPA)

Pamoja na hayo Bi Christina Bunini ameonesha kufurahishwa na ushirikiano unaoendelea kati ya Halmashauri wilaya ya Nsimbo na TANAPA katika kuhakikisha maendeleo ya kiuchumi na Kijamii kwa pande zote mbiil ikiwemo utolewaji wa elimu ya ufugaji wa nyuki pamoja na ujenzi wa uzio wa kuzuia wanyama kushambulia mizinga ya Nyuki

Aidha Vijiji mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Nsimbo vimepakana na hifadhi ya Taifa ya katavi ikiwemo kijiji cha Muungano kata ya Ibindi ambapo hali hiyo imekuwa ikitoa fursha ya kiuchumi kutokana na shughuri mbalimbali za kibiashara zinazoendelea katika maeneo hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA MAKARANI NA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA NA KUITWA KUHUDHURIA MAFUNZO YA UCHAGUZI October 23, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA NSIMBO NA TANAPA KUBORESHA UJIRANI MWEMA

    October 28, 2025
  • MILIONI 300 ZATOLEWA KWA KWA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU NSIMBO

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI WA VITUO NA WASIMIZI WASAIDIZI KATIKA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANOLEWA

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZA WAPIGA KURA WAPEWA MAFUNZO - NSIMBO

    October 25, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa