• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

HALMASHAURI YATOA MIKOPO YENYE THAMANI YA Tsh. 148,350,000 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Imewekwa: March 30th, 2023

Katika mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri ilikadiria kukusanya kiasi cha Tsh. 1,021,980,000 na kutenga asilimia 10 ya mapato hayo ambayo ni Tshs 102,198,000 kwa ajili ya Mfuko wa Wanawake, Vijana na watu wenye Walemavu.

Kwa awamu ya kwanza, Mwaka huu wa fedha Halmashauri imetoa mkopo wenye thamani ya Tshs 49,350,000 kwa vikundi 3 vya Vijana na vikundi 4 vya wanawake kutoka katika mapato ya ndani na hivyo kubakiza kiasi cha Tsh 52,848,000 ambazo zitatolewa Awamu ya pili mwezi Juni 2023.

Halmasahuri pia imetoa Tsh.99, 000,000 kutokana na fedha za marejesho ya vikundi kwa vikundi 9 vya Wanawake, kikundi 1 cha watu Wenye Ulemavu na vikundi 6 vya Vijana vyenye jumla ya wanachama 141, Hivyo kufanya jumla ya Tsh. 148,350,000. (Wanawake vikundi 13 Tshs. 68,900,000, Vijana vikundi 9 Tshs 70,450,000 na Watu wenye ulemavu Tsh. 9,000,000 kwa kikundi 1.

Katika halfa ya ugawaji mikopo hiyo Mgeni Rasmi Mhe. Anna Richard Lupembe (Mbunge wa jimbo la Nsimbo) amewataka wanufaika wa mikopo hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kurejesha mikopo hiyo. Amesisitiza kuwa endapo vikundi vitashidwa kurejesha fedha hizo vitakuwa havijawatendea haki wakopaji wengine ambao wanakopa kutokana na fedha za marejesho ya mikopo hiyo. Pia Mhe. Mbunge amewashukuru vikundi vyote vilivyopata mkopo kwa mara ya pili au ya tatu na kusema kuwa kupewa kwao mikopo hiyo inaonesha uaminifu wao usio na shaka na hivyo kuwaomba waendelee kuwa waaminifu. Pia alisisitiza matumizi ya mikopo hiyo yafanyike kadri ya maandiko yao na si vinginevyo. Mh mbunge ameahidi kuendelea kuhamasisha uundaji wa vikundi vya vijana na kuwapa kipaumbele katika shughuli za maendeleo ya Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa