• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

KATIBU TAWALA MKOA WA KATAVI ATEMBELEA VITUO VYA UANDIKISHAJI - NSIMBO

Imewekwa: October 15th, 2024

Katika kuendeleza juhudi za kuhakikisha ushiriki mkubwa wa wananchi katika zoezi la uandikishaji katika daftari la wapiga kura kuelekea uchaguzi wa viongozi wa serilali na vitongoji, Katibu Tawala akiongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Nsimbo pamoja na Afisa Maendeleo,  amefanya ziara  Nsimbo   kuhakikisha zoezi la uandikishaji linaendelea kama ilivyopangwa.

Aitha katika ziara hiyo ilihusisha kutembelea vituo kadhaa vya uandikishaji, ambako kiongozi huyo alipata fursa ya kuzungumza na baadhi ya wananchi waliokuwepo vituoni kujiandikisha na wale ambao hawajajiandikisha kufanya zoezi hilo kwani ni la muhimu, Alihimiza maafisa wasaidizi wa uchaguzi kuendelea na hamasa katika maeneo yao ili  wananchi waweze kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha, akisisitiza kuwa zoezi hili ni la muhimu kwa maendeleo ya demokrasia nchini.

“Hakikisheni mnatumia fursa hii kujiandikisha ili muweze kushiriki kikamilifu katika  uchaguzi ujao," alisema kiongozi huyo wakati akizungumza na baadhi ya wananchi wa kata ya ugalla baada ya kutembelea kituo cha uandikishaji kilichoko Kijiji cha katambike

Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Nsimbo alibainisha kuwa serikali imeweka mipango madhubuti kuhakikisha zoezi la uandikishaji linafanyika kwa uwazi na kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa.

Waandikishaji nao walionyesha shukrani kwa uongozi na kuahidi kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo, wakisisitiza umuhimu wa ushiriki wao katika kujenga taifa.

Zoezi la uandikishaji linaendelea mpaka tarehe 20 October 2024 na wananchi wanaohimizwa ni wale ambao bado hawajaandikishwa au ambao taarifa zao zinahitaji kusasishwa

Matangazo

  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HUDUMA ZA AFYA, LISHE NA USTAWI WA JAMII ZABORESHWA NSIMBO DC

    August 26, 2025
  • BEVAC NSIMBO NA TANGANYIKA YAKABIDHIWA VITUO VYA KUKUSANYIA MAZAO YA NYUKI

    August 19, 2025
  • BEVAC YAKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA KWA CHAMA CHA USHIRIKA CHA UFUGAJI NYUKI – NSIMBO

    August 13, 2025
  • CRDB BANK YATOA MSAADA WA VITI NA MEZA SITINI KWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KATAVI

    August 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa