• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Kuelekea Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2022/2023

Imewekwa: December 10th, 2021

Pichani:Watumishi mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wakiwemo wakuu wa Idara na Vitengo wakiwa katika mafunzo ya Maandalizi ya mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni maandalizi  kuelekea shughuli hiyo.


Maafisa wa ngazi mbalimbali wakiwemo wakuu wa Idara na Vitengo waHalmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wamepatiwa Mafunzo ya Mfumo wa Mpango na Bajeti(PLAN REP) ikiwa ni maandalizi kuelekea utekelezaji wa shughuli ya kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2022/2023.

Mafunzo hayo yaliyotolewa na Wataalamu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI  yalilenga kuwajengea uwezo Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Waandaaji wa Bajeti,Waganga wafawidhi wa Vituo vya kutolea huduma za Afya,Walimu wakuu wa shule pamoja na Watendaji wa Kata juu ya namna ambavyo wanapaswa kufanya maandaliz ya Bajeti kwa kuzingatia Miongozo mbalimbali inayohusika katika Uandaaji wa Bajeti ya Halmashauri.

Tayari Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo imekwishaanza kufanya maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 lengo likiwa ni kuhakikisha kuwa wanatekeleza shughuli hiyo muhimu kwa kuzingatia muda ili kuepuka kuchelewesha Bajeti hiyo jambo litakaloathiri kwa sehemu kubwa utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Kimanendelea ndani ya Halmashauri.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa