• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Madiwani Nsimbo wapitisha Bil 20.6 Rasimu Bajeti mpya 2022/2023.

Imewekwa: January 20th, 2022

Pichani:Wajumbe wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wakifuatilia kwa umakini rasimu ya Bajeti  kwa mwaka 2022/2023 ilipowasilishwa kikaoni hapo 20  Januari 2021


Na:John Mganga-DIO

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo limepitisha zaidi ya Shilingi Bilioni 20.6 ikiwa ni Rasimu ya Makadirio ya Mapato na matumizi kwa mwaka mpya ujao wa Fedha 2022/2023 ikiwa na ongezeko la 0.98 ukilinganisha na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2021/2022.

Akifungua Mkutano wa Baraza la Bajeti Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mh.Halawa Charles Malendeja amewapongeza wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kwa kufanikisha maandalizi ya Rasimu hiyo kwa wakati.

Mkuu wa Idara ya Mipango Takwimu na Ufuatiliaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi.Victoria Cilewa Akiwasilisha Rasimu ya Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kwa Mwaka mpya wa Fedha 2022/2023 amewaambia Wajumbe wa Baraza la Madiwani  katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri kuwa makadirio hayo ni sawa na ongezeko la Asilimia 0.98 yakilinganishwa na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa Shilingi 20,668,252,869.00

Ameeleza kuwa kati ya kiasi hicho cha Fedha,Shilingi 10,106,187,000.00 ni kwa ajili ya Mishahara,Shilingi 2,071,685,000.00 ni kwa ajili ya matumzi mengineyo ambapo Shilingi 7,917,500,850,00 imeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Katika rasimu hiyo ya Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2022/2023 imeelezwa kuwa Halmashauri inatarajia kukusanya jumla ya Shilingi 1,327,189,000.00 ambapo Shilingi 1,021,980,000.00 ni vyanzo visivyolindwa(Ownsource Proper) na Shilingi 305,209,000.00 ni kutokana na vyanzo lindwa.-Bima ya Afya,NHIF,Mfuko wa Afya ya Jamii CHF pamoja na User Fee.

Aidha katika Bajeti hiyo ya Shilingi 1,021,980,000.00 cha mapato ya ndani kilichoidhinishwa kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 Asilimia 40 sawa na Shilingi 408,792,000.00 itatumika kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo ambapo Shilingi 613,188,000.00 sawa na Asilimia 60 imegawanya kwenye Idara kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Wajumbe wa Baraza la madiwani pamoja na ushauri wamepongeza Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kwa kufanikisha maandalizi ya rasimu hiyo ya Bajeti kwa wakati.


MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA



Picha 1;Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mh.Halawa Charles Malendeja alipofungua kikao cha Baraza la Madiwani kujadili Rasimu ya Bajeti mpya 2022/2023

Picha 2;Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wakifuatilia kwa makini katika Majalada yao Rasimu ya Makadirio ya Mapato na matumizi kwa Mwaka mpya wa Fedha 2022/2023 ilipowasilishwa kikaoni hapo 20 Januari 2022

Picha 3;Mkuu wa Idara ya Mipango Takwimu na Ufuatiliaji Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi.Victoria Cilewa akiwasilisha Rasimu ya Mkadirio ya Mapato na matumizi kwa Mwaka mpya ujao wa Fedha 2022/2023 katika Kikao cha Baraza la Madiwani la Bajeti 20 Januari 2022/2023.

Picha 4;Diwani wa Kata ya Itenka alikuwa Miongoni mwa Wajumbe waliotoa Ushauri wakati wa kikao cha kujadili Rasimu ya Bajeti ya Mwaka mpya wa Fedha 2022/2023.


Picha 5;Raphael Kalinga,Diwani wa Kata ya Mchimboni akiwasilisha mchango wake baada  ya Rasimu ya Bajeti mpya kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 kuwasilishwa mbele ya Madiwani.

Picha 5;Baadhi ya Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wakiwa katika Kikao cha Barza la Madiwani kujadili Rasimu ya Bajeti mpya 2022/2023


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa