• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

MILIONI 300 ZATOLEWA KWA KWA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU NSIMBO

Imewekwa: October 27th, 2025

Mkuu wa Wlaya ya Mpanda Mkoani Katavi, Mhe. Jamila Yusuph amekabidhi hundi ya Shilingi Milioni 300 kwa vikundi 37 Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo.

Hafla hiyo imefanyika  Oktoba 27, Katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Msaginya. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni muendelezo w mpango wa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alieagiza kila Halmashauri nchini kutenga 10% ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kutoa mikopo isiyo na riba kwa makundi ya Wanawake, Vijana na Walemavu.

Mhe. Jamila wanufaika wa fedha hizo kuhakikisha wanazitumia katika malengo na utaratibu waliyojiwekea awali. "Tunawapa fedha hizi kama alivyoagiza Mheshimiwa Rais, kazifanyieni kazi ili zijizalishe mpate kufanya marejesho na wenzenu nao wapate na hilo ndio lengo kuu la Serikali"

"Ikitokea umepata chanagamoto msijifungie ndani, msiwaze mawazo mabaya sisi ndio walezi wenu njooni ili tuweze kujua tunawasaidiaje, kukimbia sio suluhisho ni kujitafutia tu matatizo"

"Vijana msibabaike na fedha hizi, mkituliza akili na kujikita kwenye malengo yenu mna uwezo wa kuzalisha pesa zaidi ya hizi"

Mbali na Mhe. Jamila, Wanufaika hao pia walipata semina elekezi kutoka kwa Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii kutoka H/W ya Nsimbo, Bwana Rodrick Kidenya ambae aliwapa somo namna ya kuhakikisha mikopo hiyo wanayopewa inaleta tija kwao na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA KIDATO CHA KWANZA 2026 December 04, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA November 13, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC MRINDOKO AHIMIZA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO – NSIMBO DC

    December 17, 2025
  • KAMATI YA SIASA MPANDA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO H/W NSIMBO

    December 19, 2025
  • DC MPANDA AHIMIZA UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA AWALI NA MSINGI

    December 10, 2025
  • NSIMBO YAJIDHATITI KUSIMAMIA VIZURI MIRADI YA MAENDELEO - WAKANDARASI WAAGIZWA KUONGEZA KASI.

    December 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa