• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

MILIONI MIA MOJA NA TISA ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

Imewekwa: June 29th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo imeendelea kusimamia na kutekeleza utoaji wa mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake na Vijana kwa tamko la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa kifungu 17(1) cha Sheria ya Excheque and Audit Ordinance (Cap 439) ya mwaka 1961 pamoja na maboresho yake na kwa kuzingatia kanuni, taratibu na miongozo ya kutenga fedha kutoka katika mapato yake ya ndani na kupeleka katika Mfuko wa Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu.

Katika mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri ilikadiria kukusanya kiasi cha Tshs. 1,000,098,000 na kutenga asilimia 10 ya mapato hayo ambayo ni Tshs 100,098,000 kwa ajili ya Mfuko wa Wanawake, Vijana na watu wenye Ulemavu.

Hadi kufikia tarehe 30 Mwezi Mei 2022, Halmashauri imeshakusanya kiasi cha Tshs 1,092,480,889 ya Mapato yake ya ndani ambayo ni asilimia 109 ya lengo, hivyo mpaka sasa Halmashauri ilitenga kiasi cha 109,248,088.90 kwa ajili ya Mfuko wa Wanawake, Vijana na Wenye Ulemavu ili kuwezesha Mfuko wa Mkopo utoe mikopo kwa Walengwa ambazo zimetolewa kwa awamu mbili.

Kwa awamu hii ya mwisho wa mwaka huu wa fedha Halmashauri imekusudia kutoa mkopo wenye thamani ya Tshs 30,000,000 kwa vikundi 2 vya Vijana kutoka katika mapato ya ndani Tshs. 79,000,000 kutokana na fedha za marejesho ya vikundi kwa vikundi 7 vya Wanawake na kikundi 1 cha watu Wenye Ulemavu, vyenye jumla ya wanachama 68. Hivyo kufanya jumla ya Tshs. 109,000,000. (Wanawake vikundi 7 Tshs. 39,000,000, Vijana vikundi 6 Tshs 68,000,000 na Watu wenye ulemavu Tshs. 2,000,000 kwa kikundi 1.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa