• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

MKUU WA WILAYA YA MPANDA AHIMIZA UPANDAJI MITI, ASISITIZA AMANI NCHINI

Imewekwa: November 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Mhe. Jamila Yusuph Kimaro, amewataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Mkoani Katavi, kushiriki kikamilifu katika shughuli za utunzaji wa mazingira ili kuhakikisha jamii inabaki na mazingira safi na salama kwa ustawi wa afya na maendeleo ya Taifa.

Akizungumza Novemba 26, 2025 katika shule ya Sekondari Nsimbo wakati wa kampeni ya uhamasishaji na utunzaji wa mazingira inayoandaliwa na Shirika la Habari la Taifa (TBC), Mhe. Jamila, aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Katavi, amesema kuwa ushiriki wa wananchi ni nguzo muhimu katika kulinda mazingira.

Amesisitiza umuhimu wa mkoa kuungana na Mwanamazingira Namba Moja, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, katika juhudi za kukijanisha nchi.

“Leo ni fursa kwa wana Katavi kuungana na Mwanamazingira Nambari Moja, Mhe. Samia Suluhu Hassan, katika kukijanisha mkoa wetu. Tayari tumepanda zaidi ya miti 300 kando ya barabara ya Mpanda–Tabora na katika shule ya Sekondari Nsimbo ili kuboresha mazingira,” alisema Mhe. Jamila.

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amewataka wananchi kuendelea kulinda amani kwa kuepuka kushiriki katika matukio au viashiria vinavyoweza kuhatarisha utulivu wa nchi, na badala yake kuelekeza nguvu katika shughuli za uzalishaji mali na uhifadhi wa mazingira kwa maendeleo endelevu.

Kampeni ya Mti wa Mama 27 ya Kijani, inayoratibiwa na TBC, inalenga kuhamasisha jamii kutunza na kuboresha mazingira ili kuwa na mazingira safi, salama na rafiki kwa shughuli za kibinadamu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA November 13, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA MRADI WA KITUO CHA AFYA IBINDI August 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MPANDA AHIMIZA UPANDAJI MITI, ASISITIZA AMANI NCHINI

    November 26, 2025
  • RC MRINDOKO AWATAHADHARISHA MAWAKALA NA WAFANYABIASHARA WA PEMBEJEO ZA KILIMO

    November 19, 2025
  • PONGEZI KWA PROF RIZIKI SHEMDOE

    November 17, 2025
  • DED NSIMBO AWATAKIA MTIHANI MWEMA WATAHINIWA WA CSEE-2025

    November 17, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa