• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Mwandishi TBC awahimiza Wanafunzi Nsimbo kusomea Taaluma ya Uandishi wa Habari.

Imewekwa: March 21st, 2022

Pichani Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mkoani Katavi Bw.Hosea Cheyo  akizungumza na Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Nsimbo alipowatembelea Wanafunzi hao 17 mACHI 2022.


Nsimbo -Mtapenda

Mwandishi Mkongwe wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mkoa wa Katavi Bw. Hosea Cheyo ametoa wito kwa Wanafunzi  wa Shule ya Sekondari Nsimbo kujitokeza kwa wingi kusomea taaluma ya Uandishi wa Habari .

Mwandishi Hosea Cheyo ametoa rai hiyo 17 Machi 2022 alipowatembelea Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nsimbo katika shughuli ya  kuandaa Makala ya Mafanikio ya Mwaka mmoja wa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

Akizungumza na Wanafunzi hao alipopewa fursa ya kuwasalimia Mwanahabari Cheyo aliwataka Wanafunzi hao kutumia Fursa waliyopata kusoma kwa bidii ili waweze kuwa na uwezo wa kujikwamua na maisha.

Mwanahabari huyo mkongwe amewaeleza Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nsimbo kuwa Taaluma ya Uandishi wa Habari ni taaluma pana inayomfanya mtu kuwa na uelewa wa mambo mengi na hivyo kuwahamasisha kujitokeza kwa wingi kusomea Taaluma hiyo ili waweze kuisaidia Jamii ya Watanzania.

Hosea Cheyo ametembelea Shule ya Sekondari Nsimbo akiambatana na Kaimu Mkurugenzi Nsimbo pamoja na Mtalamu  wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wakati wa Maandalizi ya Makala ya mafanikio ya Mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan.


Matangazo

  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO,SHULE YA SEKONDARI NSIMBO MWAKA WA MASOMO 2022/2023 April 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DED awashukia Watendaji Nsimbo, Awataka kuacha Visingizio,kukamiilisha miradi ndani ya muda uliopangwa.

    April 21, 2022
  • Mwenyekiti Nsimbo awataka Watendaji kukamilisha Malengo kuelekea Mwishoni mwa Mwaka wa Fedha

    April 21, 2022
  • ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA KUFANYA KAZI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA MFUMO WA ANUANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO

    March 23, 2022
  • Kaimu DED Nsimbo akagua Ujenzi Miradi Kata ya Ugalla, Asisitiza maandalizi ya manunuzi ya Vifaa kwa wakati kutoathiri kasi ya Ujenzi.

    March 22, 2022
  • Angalia zote

Video

ZIara ya Naibu Waziri OR TAMISEMI Mh.David Silinde kukagua Ujenzi wa Madarasa Nsimbo DC
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +255739992124

    Simu: +255787992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa