• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Mwandishi TBC awahimiza Wanafunzi Nsimbo kusomea Taaluma ya Uandishi wa Habari.

Imewekwa: March 21st, 2022

Pichani Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mkoani Katavi Bw.Hosea Cheyo  akizungumza na Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Nsimbo alipowatembelea Wanafunzi hao 17 mACHI 2022.


Nsimbo -Mtapenda

Mwandishi Mkongwe wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mkoa wa Katavi Bw. Hosea Cheyo ametoa wito kwa Wanafunzi  wa Shule ya Sekondari Nsimbo kujitokeza kwa wingi kusomea taaluma ya Uandishi wa Habari .

Mwandishi Hosea Cheyo ametoa rai hiyo 17 Machi 2022 alipowatembelea Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nsimbo katika shughuli ya  kuandaa Makala ya Mafanikio ya Mwaka mmoja wa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

Akizungumza na Wanafunzi hao alipopewa fursa ya kuwasalimia Mwanahabari Cheyo aliwataka Wanafunzi hao kutumia Fursa waliyopata kusoma kwa bidii ili waweze kuwa na uwezo wa kujikwamua na maisha.

Mwanahabari huyo mkongwe amewaeleza Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nsimbo kuwa Taaluma ya Uandishi wa Habari ni taaluma pana inayomfanya mtu kuwa na uelewa wa mambo mengi na hivyo kuwahamasisha kujitokeza kwa wingi kusomea Taaluma hiyo ili waweze kuisaidia Jamii ya Watanzania.

Hosea Cheyo ametembelea Shule ya Sekondari Nsimbo akiambatana na Kaimu Mkurugenzi Nsimbo pamoja na Mtalamu  wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wakati wa Maandalizi ya Makala ya mafanikio ya Mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa