• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

NSIMBO YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI KUHUSU ANWANI ZA MAKAZI NA POSTKODI

Imewekwa: July 10th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo tarehe 9 julai 2025 imeendesha mafunzo maalum kwa Watendaji wa Kata na Vijiji, yakilenga kuwajengea uwezo kuhusu mfumo wa anwani za makazi na umuhimu wa postikodi (Post Code) katika kuwahudumia wananchi, hususan waombaji wa mikopo ya serikali na taasisi za kifedha.

Mafunzo hayo yamefanyika kwa lengo la kuhakikisha watendaji hao wanakuwa na uelewa wa kutosha kuhusu mchakato wa utambuzi wa makazi ya wananchi kupitia anwani rasmi, jambo ambalo limekuwa kikwazo kwa baadhi ya wananchi kupata huduma muhimu kutokana na kukosekana kwa uelewa wa matumizi sahihi ya anwani za makazi katika kutoa na kupokea huduma.

Awali wakati akizungumza na washiriki mgeni rasmi Bi Christina Daniel Bunini Mkurugenzi wa Halmashauri amesisitiza umuhimu wa kila mtendaji kuwa kusikiliza kwa umakini na kutekeleza kwa vitendo yale wanayojifunza ili kusaidia wananchi pindi wanapofika ofisini kupata huduma.

“Sitaki kusikia mwananchi anakosa huduma kwa sababu tu mtendaji hakuwepo au hajui kuhusu mfumo huu wa anwani za makazi. Kila mmoja atimize wajibu wake kikamilifu katika eneo lake la kazi,” alionya Mkurugenzi.

Aidha, amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuendelea kuwa sehemu ya maboresho ya mifumo ya utawala na utoaji huduma kwa wananchi, hasa kwa kuhakikisha wananchi wote wanakuwa na anwani rasmi za makazi.

Watoa mada katika mafunzo hayo walikuwa ni Katibu wa Kamati ya Wataalam ya uratibu wa Anwani za makazi na Postkodi na Afisa TEHAMA wa Halmashauri. Mada zilizotolewa zimegusa maeneo ya kisheria, kiutendaji na kiteknolojia kuhusu usimamizi wa anwani za makazi, matumizi ya mifumo ya kielektroniki, na jukumu la kila mtendaji katika kuhakikisha taarifa za maeneo yao zinatambuliwa rasmi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • NSIMBO YATOA MAFUNZO KWA WATENDAJI KUHUSU ANWANI ZA MAKAZI NA POSTKODI

    July 10, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI NSIMBO AKABIDHI MIZINGA KWA WANACHAMA WA CHAMA CHA USHIRIKA WA MAZAO YA NYUKI

    July 10, 2025
  • SAMIA DAY: KATAVI YAANDAA TAMASHA KUBWA KUADHIMISHA MIAKA MITANO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    July 02, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NSIMBO YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI BORA WA MAAGIZO YA KAMATI YA BUNGE (LAAC)

    June 19, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa