• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Ujenzi Sekondari ya Kapalala Nsimbo mbioni kukamilika.

Imewekwa: March 17th, 2022

Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kapalala inayojengwa kwa Ufadhili wa Fedha za Mpango wa kuinua Ubora wa Elimu ya Sekondari Nchini SEQUIP unaoendelea katika Kata ya Kapalala Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo uko katika hatua nzuri na ya kuridhisha kaimu Mkuu wa Idara ya Ujenzi Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo  Mhandisi Martin Kasonso ameeleza.

 Mhandisi Kasonso ameeleza kuwa hadi kufikia 17 Machi 2022 Majengo yote yalikuwa katika hatua ya Upigaji wa lipu huku baadhi ya majengo yakiwa katika hatua ya ufungaji wa Dari ambapo mafundi wote waliopewa kazi hizo wanaendelea na shughuli za Ujenzi pasi kuwepo na changamoto yoyote iliyojitokeza

Katika utekelezaji ratiba ya ufuatiliaji wa karibu wa miradi mbalimbali inayoendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo,Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo Bi Tabia Nzowa 16, Machi 2022   alitembelea mradi huo ambapo alithibitisha maendeleo mazuri ya Ujenzi.

Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kapalala katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo unaotekelezwa kwa fedha za Mpango wa Kuinua ubora wa Elimu ya Sekondari Nchini SEQUIP T unahusisha Vyumba Nane vya Madarasa,Maabara tatu,Jengo la Utawala,Maktaba moja,Chumba cha TEHAMA pamoja na matundu Ishirini ya Vyoo

Serikali kupitia mpango wa kuinua Ubora wa Elimu ya Sekondari SEQUIP T ilitenga Kiasi cha Shilingi Milioni 600 kwa ajili ya Ujenzi wa Sekondari hiyo ya Wasichana ambapo hadi sasa Shilingi Milioni 470 zimekwisha tolewa kwa ajili ya kutekeleza Mradi huo unaotarajiwa kukamilika ifikapo Tarehe 08, Agosti 2022.



Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa