• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
    • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

WACHIMBAJI WA MADINI WATAKIWA KUFUATA TARATIBU ZA UCHIMBAJI NA KUTUNZA MAZINGIRA

Imewekwa: October 24th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Eng. Stephano B. Kaliwa amewaagiza wachimbaji kuondoka mara moja katika maeneo ya mto na kuacha kabisa shughuli za uchimbaji  ndani ya mita 60 za mto pia amewasisitiza kufuata taratibu za uchimbaji kwa kuhakikisha uhifadhi wa mazingira na upatikanaji endelevu wa maji safi kwa jamii kwani  uharibifu wa vyanzo vya maji ni tishio kubwa kwa maisha ya wananchi na viumbe hai wengine wa eneo hilo na kwa mustakabali wa rasilimali za maji. Aliyasema hayo wakati alipofanya ziara katika Kijiji cha Kapanda kata ya Machimboni  kukagua shughuli za uchimbaji wa madini.

Akiwa kwenye ziara hiyo, alibaini kuwa wachimbaji walikuwa wakiharibu vyanzo vya maji kwa kufanya shughuli za uchimbaji ndani ya mita sitini (60) za mto jambo ambalo ni kinyume na taratibu za uhifadhi wa mazingira. Ingawa wachimbaji hao wanayo leseni halali za kufanya shughuli za uchimbaji, ameleza kuwa kwa kufanya hivyo wanavunja sheria kwa kuendesha shughuli zao katika maeneo ya vyanzo vya maji. Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji alielekeza wachimbaji wasiofata utaratibu wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria ya Usimamizi wa Mazingira namba 20 ya mwaka 2004 

Ziara hiyo ni moja kati ya ziara za kiutendaji zinazofanywa kwa nia thabiti ya kuthibiti, kusimamia na kuimarisha rasilimali asilia na kuhakikisha shughuli za kiuchumi zinafanywa kwa kufuata sheria na kulinda mazingira.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU February 25, 2025
  • MICHORO YA RAMANI KWA ZABUNI ZILIZOTANGAZWA KATIKA SHULE MBALIMBALI September 16, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WANANCHI NSIMBO WATAKIWA KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA

    May 01, 2025
  • WAFANYAKAZI WAPEWE MOTISHA KAZINI

    May 01, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI NSIMBO LARIDHISHWA NA MIRADI YA MAENDELEO

    April 30, 2025
  • KAMISHNA WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI ATEMBELEA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA KIELEKTRONIKI VYA BAYOMETRIKI (BVR KITS) KATIKA JIMBO LA NSIMBO

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Video zaidi

Quick Links

  • Mfumo wa Tausi Portal
  • Watumishi Portal
  • Wezesha Portal
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa PLANREP
  • Mfumo wa SIS
  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : 025 295 5164

    Simu: 025 295 5164

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa