• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Ukaguzi wa ndani

Ukaguzi wa ndani:

 

Kitengo cha ukaguzi wa ndani ambacho kimeanzishwa chini ya kifungu 45(1) cha sheria ya fedha ya mamlaka ya serikali za Mitaa na 13 ya mwaka 1982(section 45(1) of local authority finances act) ni moja kati ya vitengo vilivyopo chini ya ofisi ya Mkurugenzi mtendaji,

Kitengo cha ukaguzi wa ndani Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo kinafanya kazi ya kukagua, kusimamia na kushauri mambo ya fedha na mifumo wa Halmashauri kwa ujumla ili kuhakikisha maslahi ya Halmashauri yanalindwa na kumshauri Afisa masuuli juu ya matumizi bora ya fedha za serikali na mfumo wa Halmashauri kwa ujumla

 

 

 

 

Watumishi wa Kitengo 


Jina:David Makilile.

Cheo:Mkuu wa kitengo

Elimu:Ast

Mawasiliano:

Simu-+255754748264

Barua Pepe-davidebakilile@yahoo.co.uk

Jina:Gregory Milungu

Cheo:Mkaguzi wa ndani

Elimu:Shahada ya sanaa ya Usimamizi wa Biashara

(Chuo Kikuu Huria cha Tanzania)

Mawasiliano:

Simu:

+255767412637

Barua pepe  -greymillungu@yahoo.com

Jina:Foedson Bernad Essero

Cheo:Mkaguzi wa ndani

Elimu:Shahada ya Uhasibu na Usimamizi wa fedha

 (Chuo Kikuu cha Mtakatifu John-Tanzania)

Mawasiliano:

Simu: +255713293118

Barua pepe  -ford7essero@gmail.com

KAZI NA MAJUKUMU YA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

Kufanya ufuatiliaji, Ukaguzi na usimamizi wa fedha zote zinazokusanywa na zinazopokelewa  na Halmashauri

Kuhakikisha kuwa sera za matumizi ya fedha za serikali zinafuatwa kikamilifu kama zilivyo ainishwa kwenye mamlaka za serikali za mitaa na sera nyinginezo za matumizi ya fedha.

Kufanya Ukaguzi wa matumizi ya ankara zote za Halmashauri kila robo mwaka na kuandaa ripoti kwa afisa masuuli kabla ya tarehe 15 ya mwezi unaofuata robo husika.

Kufanya ukaguzi wa miradi na mali zote za Halmashauri na kuhakiki uwepo  thamani ya fedha( Value for money)

Kupitia na kuangalia utendaji na mfumo wa kila siku wa halmashauri na kuangalia kama unatekelezwa.

Kuandaa mpango kazi wa kitengo cha ukaguzi na kuuwasilisha katika kamati ya ukaguzi na  kwa  Afisa Masuuli.

Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI March 08, 2021
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Milioni 122,500,000 zanufaisha Wajasiriamali Nsimbo.

    April 14, 2021
  • Angalia zote

Video

Mwenyekiti Nsimbo akemea Uchangiaji holela wa vyombo vya kunywea pombe vilabuni
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +2552955164

    Simu: +255713992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa